Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
uzushi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli ni siamini japo kuna kaka yangu Siku moja alikua kaenda kwa rafiki yake usiku kachelewa kuludi akatoka huko SAA 7 usiku wakati analudi anasema alipofika mitaa fulani Malibu na uwanja wa shule ya msingi aliona jitulefu urefu wake km mnala wa simu limesimama mguu pande anasema distance ya mguu mmoja hadi mwingine ilikua goli moja hadi lingine kwa uoga alikaa chini alituambia baada ya km DKK 20 liliondoka kwa hatua ndefu ndefuBwana Unju mguu wake mmoja upo Kongo na mwingne upo Bongo.Daaaahh,huyu kaburi lake si mchezo ila tunaambiwa pamoja na ukubwa na urefu alokuwa nao,jamaa kaburi yake ipo ipo hapa hapa Bongo.
Hwa watu sijui wanatuchukuliaje aseee 🙂 🙂🤣🤣 nimeishia hapo kwenye kukausha kwa jua..🤣
Jamani alietunga hii alikunywa nini..?
Hatua moja iko Tabota nyingine Congo ,anachukua samaki baharini anakausha akinyoosha mkono unakaribia jua halafu kazikwa kilwa ...kaburi lake lina ukubwa gani vile?Hivi ushawai sikia story za mtu kiumbe kiitwacho Unju bin Unuk?
Basi ngoja nikusimulie kwa ufupi!
Unju bin Unuk ni mtu aliepata kuishi zamani inakadiriwa aliishi karne ya 16-17 uyu jamaa kuna watu wanamsema ni moja ya manabii, wengine wanasema ni mtu tu wa maajabu.
Unju bin unuk alikuwa na urefu mkubwa sana na mwili mkubwa kuwahi kutokea duniani alikuwa ana uwezo wa kuingia baharini na akaokota samaki kwa mkono akiwa ndani ya maji na akamkausha na jua kwa kunyoosha mkono juu na kurikalibia jua.
Pia jamaa inasemekana alikuwa na uwezo wa kutembea kwa kuruka ruka; jamaa inasemekana hata Tanzania alishawai kuwepo alipata kuishi maeneo ya Kilwa Kivinje na kaburi lake ndo Lipo uko.
Jamaa inasemekana hatua yake moja ya mguu wa kulia ipo Tabora na nyingine ya mguu wa kushoto ipo Kongo.
Pia inasemekana aliwahi pita maeneo fulani ya Kilwa akakuta watu wanachota maji mtoni akawaomba maji wale watu wakamfukuza ila tangu walipomfukuza yale maji ya ule mto yakawa machungu na yanawasha ila maji yale yale ya ule mto katika kijiji cha pili ni mazuri tu yanafaa kwa matumizi.
Je, vipi na wewe ushawai sikia habari za uyu mtu Unju bin Unuk.
tukafukue kaburi lake tuitangazie dunia maajabu ya huyo jamaa - si kilwa tu hapo tunashindwa nini kama habari hii ni kweli.Pia jamaa inasemekana alikuwa na uwezo wa kutembea kwa kuruka ruka; jamaa inasemekana hata Tanzania alishawai kuwepo alipata kuishi maeneo ya Kilwa Kivinje na kaburi lake ndo Lipo uko.
Zito ukimilki peni ni shida.Je Unju Bin Unuk ana connection na Uj Bin Anak?
Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu
Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi.... Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (palestina/israel ama jordan ya sasa )katika ulimwengu wa kale takriban miaka zaidi ya 6000 iliopita.... Na inaelezwa ndio mwanadamu...www.jamiiforums.com