Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hilo kwapa mhhhh???
kama uchafu wa vocha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo kwapa mhhhh???
Nayo inakusalimia pia.Ufanye siri na nani??????? mimi sijui mwenyewe na hizo habari.
I salimie michepuko yako yote. bye
Mwarabu ambae kwa sasa ameajiriwa na mwanamuziki Diamond na analipwa mshara mnono kwa kazi ya kumlinda ambapo hadi sasa amenunua viwanja kadhaa na ujenzi unaendelea na si nyumba za kitoto huku akiwa na usafari zaidi ya gari tatu ambapo moja boss wake alimnunulia na mbili amenunua kwa mshahara anaomlipa
Duh, haya bwana
mweupe sana na hana lolote kuna bodigad wa dully alipewa promo humu baadae akaja gundulia analiwa kiboga eti walimuita ngumi jiwe huku anapumuliwa tz kwa mizaha
ni kweli mkuu, huyu jamaa ana fanya kitu anacho kipenda maishani mwake.Kama ni kweli saluti kwake
si ndo mpango mzima au wasemaje mkuu?Hilo kwapa mhhhh???
wewe jifariji tu , atapo kupitia kama kumba kumba ndo utakuja kushudia hapa.Mkwala wa nanasi...nnje miiba mingii, ndani tamu balaa!
Eti kwenye msitu wa chuo kikuu msitu upi? Hapo si uwanjani tufike Muda tuwakatae hawa waandishi wa habari makanjanja Kama huyu
Ahaaaa....na wewe unasoma JF news.Blog news
tena sana.Umetisha
kama msitu wa amazoni....chezea msitu wa mabepwandekweli huyo muarabu
mwarabu wa pemba....
ANAMSITU KWAPANI KAMA HUO MSITU WA MAZOEZI
Mwee!!!!! ashukuliwe ndomo kwakumpa ajira maana vinginevyo anacharacteristics zote za ujambazi.
mwaga ubuyu mkuu... watu tupate udambwi dambwi.
kweli enhee....kwahiyo anko John umepndi ana madevu kama Osama.Akinyoa ndevu anapendeza zaidi...........
we...weeee...weee....akikusikia , utajuta kumtaja.Hongera Komando mandevu....
kwahiyo unataka kusema hakuna mkate mgumu mbele ya chai...."Nguseee nikuchane-chane na viwembe" Ka Ouwbamaa ktk huyu ni demu wangu ft Mchizi Moxxx
Teheeee teehee nimemkumbuka Arafat Ngumi Jiwe yule baunsa wa Dully alitamba sana sasa si ndo akajichanganya ku-msodoma dogo kwa nguvu acha wana wa kitaa wamdandie nae akaliwa kiboga safiiii na ngumi kadhaa akachezea,sijui kapotelea wapi na wana mikwara hawa.
Mwee!!!!! ashukuliwe ndomo kwakumpa ajira maana vinginevyo anacharacteristics zote za ujambazi.
Mbona Anaonekana Kama Punga Vile!