Mjue Issa Michuzi

Mjue Issa Michuzi

Status
Not open for further replies.
From the Oxford Advanced Learner's Dictionary....

ob•scene /
phon_shwa.gif
b
stress.gif
si
phon_colon.gif
n/ adj.

1 connected with sex in a way that most people find offensive: obscene gestures / language / books
xsym.gif
an obscene phone call (= in which sb says obscene things)

2 extremely large in size or amount in a way that most people find unacceptable and offensive
synsym.gif
outrageous: He earns an obscene amount of money.
xsym.gif
It's obscene to spend so much on food when millions are starving.


Possible entries for

porn•og•raphy /p
phon_capo.gif
phon_colon.gif
stress.gif
n
phon_capq.gif
phon_capg.gif
r
phon_shwa.gif
fi; NAmE
p
phon_capo.gif
phon_colon.gif
r
stress.gif
n
phon_capa.gif
phon_colon.gif
phon_capg.gif
/ (also informal
porn) noun [U] (disapproving) books, videos, etc. that describe or show naked people and sexual acts in order to make people feel sexually excited, especially in a way that many other people find offensive: child pornography
xsym.gif
the distribution of pornography
xsym.gif
measures to tighten the laws on
 
Sasa tumuulize GT kwa nini kiweka picha hiyo hapa in all its glory! Isn't he/she guilty of the same offence that he/she is accusing Muhidini of? Si angetuwekea tu link ili tuifuate huko huko alikoitoa?
 


Sasa tumuulize GT kwa nini kiweka picha hiyo hapa in all its glory! Isn't he/she guilty of the same offence that he/she is accusing Muhidini of? Si angetuwekea tu link ili tuifuate huko huko alikoitoa?

Well, GT hajajiweka katika misafara ya Rais.

Moja, la pili, GT hajajipiga picha na li-dildo. Amebandika picha ya Michuzi na li-dildo, picha ambazo hapa zinakubalika, muulize Kibunago.
 
Well, GT hajajiweka katika misafara ya Rais.

Moja, la pili, GT hajajipiga picha na li-dildo. Amebadinda picha ya Michuzi na li-dildo, picha ambazo hapa zinakubalika, muulize Kibunago.

I don't get it...Michuzi kajiwekaje kwenye misafara ya raisi?
 
Well, GT hajajiweka katika misafara ya Rais.

Moja, la pili, GT hajajipiga picha na li-dildo. Amebadinda picha ya Michuzi na li-dildo, picha ambazo hapa zinakubalika, muulize Kibunago.

Naam, yote hayo hajayafanya (pengine maana wengine hatumjui. Unaweza kukuta yeye ndiye Muhidini!). Lakini kinachozungumzwa hapa ni kuwa hiyo picha ni obscene na pornographic. Sasa kama ni hivyo, GT kwa kuibadika hapa si ameipa a new lease of life?
 
Well, GT hajajiweka katika misafara ya Rais.

Moja, la pili, GT hajajipiga picha na li-dildo. Amebandika picha ya Michuzi na li-dildo, picha ambazo hapa zinakubalika, muulize Kibunago.
Naaam ....
zinakuibalika hapa na ni katika ukumbi wake maalum.
 
wewe game theory,kwanini michuzi can not be a presidential photographer,huyo aliopo sasa hivi ana merit gani zaidi ya michuzi,au by virtue ya yeye michuzi kuwa mtoto wa mjini disqualifies him? kuna times i try to analyse your postings,but frankly speaking me always seems to reach a dead end.To hate a player just for the sake of hating is a cardinal sin.its the game that we should hate

hafaiiiiiiiiiiiiii kabisssssaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!kama nduguyo samahani!!!!!!!!!
ila nampenda sana kija anapenda kusakizia mizoga wenzako huku akiyakimbia!!!
dat gud,na nyi ma cel...muwe makini kama kijana

Waafrika hatendelei na hatutaendela kwa wivu na chuki binafsi GT umechoka kumfananisha Makhoom na JK sasa mmemrukia Michuzi wa watu?una beef nae?Kama una beef nae hapa sio mahali pale kaka.
 
Waafrika hatendelei na hatutaendela kwa wivu na chuki binafsi GT umechoka kumfananisha Makhoom na JK sasa mmemrukia Michuzi wa watu?una beef nae?Kama una beef nae hapa sio mahali pale kaka.


Michuzi hajashambuliwa, ameji undress mwenyewe akaweka picha kwenye intertnet.

Sasa watu wakiusema utupu wake watakuwa wamekosea?
 
Michuzi hajashambuliwa, ameji undress mwenyewe akaweka picha kwenye intertnet.

Sasa watu wakiusema utupu wake watakuwa wamekosea?

Kubandika lile lipicha haimaanishi na haihusiani na utupu, kama yeye ni mtupu!
 
Kubandika lile lipicha haimaanishi na haihusiani na utupu, kama yeye ni mtupu!

Utupu as in nakedness, nakedness as in mental nakedness.

Mtu mwenye public position katika nchi iliyo conservative kama Tanzania kubandika picha ambayo hata m Dutch aliye na public position atajiuliza mara mbili (the Dutch being THAT liberal) inasema mengi kuhusu utupu wa mbongo za mtu huyu.
 
Hahahaha!

This is funny. Bt has ever anybody of U asked themselves how do HIV/AIDS awareness pipo teach how to use condoms in the villages? They use that thing, because when they used fingers men and women out there put the condoms on their (middle) fingers and did the thing pekupeku. Why didnt u Guyz ask first?
 
GT na wapambe wako, mnamuonea wivu Michuzi. Mtakufa na donge moyoni.
 
Kuna mtu (nadhani Yo Yo) alikuwa anaulizia source ya picha ya Dildo ya Michuzi. Picha hiyo chanzo chake si JF bali kama ionekanavyo chini.

Code:
[B]http://i186.photobucket.com/albums/x120/MTAJIJU/STA70161-1.jpg[/B]
 
Jamii haikosi cha kusema, hasa pale wanapopata jukwaa la kusemea , kuhusu swala issa michuzi si jambo la kushangaza kwani mti wenye matunda mazuri ndio hurushiwa mawe hivyo hayo maneno yasikukatishe taa, kaza uzi kaka, ukweli sisi twaujua
 
MUHIDIN ISSA MICHUZI NINAYEMFAHAMU MIMI SIKU ZA NYUMA ALIKUWA AKIKAA MAGOMENI MTAA WA IDRISSA(?)....PIA WAKATI ULE KWENYE ITV KULIKUWA NA KIPINDI CHA KITIMOTO KILICHOKUWA KIKIENDESHWA NA RAFIKI YAKE PASCAL MAYALA....(ambaya naye toka siku nyingi huwa anaendesha racing motocycle bila helmet....stimes kukiwa na wasichana warembo tofauti)).........!
MORE ABOUT MICHUZI.....?
Hivi unajua kilicho mpata kutokana na kuendesha piki piki bila elmet? Mwaka jana mwezi wanane alikuwa anaelekea DOM kwenye sherehe za Nane Nane alipata ajali mbaya sana ambayo hadi leo ajaweza kuendelea na shughuli zake kutokana na mkono wake kupoteza mawasiliano.
 
Last edited:
Hivi unajua kilicho mpata kutokana na kuendesha piki piki bila elmet? Mwaka jana mwezi wanane alikuwa anaelekea DOM kwenye sherehe za Nane Nane alipata ajali mbaya sana ambayo hadi leo ajaweza kuendelea na shughuli zake kutokana na mkona wake kupoteza mawasiliano.

Mkuu hujachanganya habar hapa? nilidhani aliyepata ajali mwaka jana akienda DOM ni Pascal Mayala (TBC) au?

Alafu kama aliumia mkono hata angekuwa na Helmet bado mkono ungepata madhara. sidhani kama helmet inakinga mpaka mikono na miguu, kwa hiyo hayo sio madhara ya kutovaa Helmet labda tuseme kuendesha kasi au sababu nyingine
 
Mkuu hujachanganya habar hapa? nilidhani aliyepata ajali mwaka jana akienda DOM ni Pascal Mayala (TBC) au?

Alafu kama aliumia mkono hata angekuwa na Helmet bado mkono ungepata madhara. sidhani kama helmet inakinga mpaka mikono na miguu, kwa hiyo hayo sio madhara ya kutovaa Helmet labda tuseme kuendesha kasi au sababu nyingine

Mbogela,

Kuna jamaa alikuwa mpinzani sana wa kutumia condom.

Sababu hasa iliyompeleka kupinga kutumia ni kuwa :

"Jamaa yake mmoja alikuwa kajiandaa kwa mambo makali, hivyo akaamua kuvaa condoms (mbili) kabisa tangu akiwa nyumbani kwake. Mwenyewe akapanda pikipiki na kuelekea kwa mtoto. Akiwa njiani aligongwa na gari na kufa palepale na hizo condoms hazikumsaidia kitu........"
 
Mkuu hujachanganya habar hapa? nilidhani aliyepata ajali mwaka jana akienda DOM ni Pascal Mayala (TBC) au?

Alafu kama aliumia mkono hata angekuwa na Helmet bado mkono ungepata madhara. sidhani kama helmet inakinga mpaka mikono na miguu, kwa hiyo hayo sio madhara ya kutovaa Helmet labda tuseme kuendesha kasi au sababu nyingine
Aliye pata ajali ni Pascal Mayala.ambae ndio nime mzungumzia labda umenielewa vibaya.
 
Last edited:
zaidi ya kubania comments zinazosema ukweli kuhusu viongozi wa serikali hana kosa lingine lolote ninaloona.mungu aendelee kumjaalia katika maisha yake labda siku moja atakuwa na nguvu zaidi ya kuwapa uhuru wa kutoa maoni wanablogu wake.
 
Huyu bwana ni kibaraka wa wakubwa na kwa ujumla ni mtu mwenye kujipendekeza kwa waheshmiwa na vigogo. Alishapigwa mkwara kabla kuwa aangalie watu wanachochangia kwenye blog yake au wataanza kumnyima safari za nje, akafyata.

Je safari za nje ni za maana zaidi kuliko maslahi ya taifa?

Kumbe nilikuwa sijui kama yuko hivi kweli aache hii tabia awee maslahi ya taifa mbele hasilete mambo ya tumbowazi hapa, tutamsusia na sisi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom