Mjue jasusi Paul Kagame - Sehemu ya Pili

Mjue jasusi Paul Kagame - Sehemu ya Pili

Kagame wakati anaisadia Tanzania kumuondoa Idd Amin1979 pia wakati ana msaidia Museveni kuwa Rais 1986 hakufikisha hata miaka 30. Alifanya haya yote ili awe nguli kwenye medani ya vita ili wakati ukifika aikomboe Rwanda dhidi ya Majeshi ya serikali Alikubali maisha yake yote yapotee afe ila Nchi yake iwe salama. Hili ni funzo la kweli kwetu vijana.
Ma- Rais,
Kagame,
Mseven,
Loraa Kabila, Mkubwa na Mdogo,
Milton Obote, nk
Walianza kupigana wakiwa msituni hivo kuchukuliwa km viongozi wa makundi ya Magaidi, wakipinga serikali halali za nchi zao! zilizo ongozwa na wa-Africa wenyewe, na karibu wote walifanikiwa kwa kiwango kikubwa! kutwaa Madaraka waliyo kusudiwa!

Hawa wote walipata mafunzo Tanzania, Tangu shule za kawaida, JKT, mpaka mafunzo ya kijeshi huko Tanzani Millitary Academy (TMA) pale Monduli - Officer Cadet, wajeda wengi wamepita hapo mfano Wa Kenya, Lesotho,S/Africa, seychelles nk,

Mauaji ya Rwanda/Burundi yana Mkono wa Tanzania kwa sehemu yote, Vita ya Congo isingekuwa km ilivo kuwa bila Tanzania kulea Mgaidi wenye weredi, na imeshiriki kulea Magaidi kwa muda mrefu! tumeishi nao humu! tumesoma nao! Mfano Kabila aliishi Kipawa anakula vihepe! Lkn imefumbiwa macho na NATO! kwa nini?

Leo tuko salama usalimini, twacheza, twalima, twauza!!! kwanini? na huko nyuma tuna History ya kuwaharibia ndg zetu amani?
Jirani zetu Hawali, hawanywi kwa raha! wanakufa, na hatuwasaidiii, kwa nini? Dunia inatuonaje? Who provides save heaven! Logistics support, Allowance! Shelter, Medical services, communications for all of those? mfano;

Kenya na Al-Shaabab,
Uganda-na Joseph Konyi- Kapotea, amepotelea wapi pasipo julikana km siyo humu?

Rwanda -Loraa Nkunda, nani anajua alipo!? anaishi uzuri kimyaaa! Salasala- njia panda pale kilima Hewa/ Kinzudi! hutakaa umjue!
Burundi-Intarahamwe, -TISS- walipenya ndani ya nchi wakamrudisha madarakani Nkurunzinza.

Somalia- hawalimi, hawafugi, hawauzi, hawa nunui ajili ya Al shaabab nk,

Tanzania ni kituo kikubwa cha kulea Magaidi Africa, sasa dhambi ya ugaidi inawatafuna wenyewe, imeanza kwa kina Lissu iko siku isiyokuwa na tarehe, mtaja tafunwa wooote!! ajili ya chuki na chuki za viongozi wenu, mnanyooshea dole USA, MOSSAD lkn na nyie mmejifumbia macho!!!
 
Ma- Rais,
Kagame,
Mseven,
Loraa Kabila, Mkubwa na Mdogo,
Milton Obote, nk
Walianza kupigana wakiwa msituni hivo kuchukuliwa km viongozi wa makundi ya Magaidi, wakipinga serikali halali za nchi zao! zilizo ongozwa na wa-Africa wenyewe, na karibu wote walifanikiwa kwa kiwango kikubwa! kutwaa Madaraka waliyo kusudiwa!

Hawa wote walipata mafunzo Tanzania, Tangu shule za kawaida, JKT, mpaka mafunzo ya kijeshi huko Tanzani Millitary Academy (TMA) pale Monduli - Officer Cadet, wajeda wengi wamepita hapo mfano Wa Kenya, Lesotho,S/Africa, seychelles nk,

Mauaji ya Rwanda/Burundi yana Mkono wa Tanzania kwa sehemu yote, Vita ya Congo isingekuwa km ilivo kuwa bila Tanzania kulea Mgaidi wenye weredi, na imeshiriki kulea Magaidi kwa muda mrefu! tumeishi nao humu! tumesoma nao! Mfano Kabila aliishi Kipawa anakula vihepe! Lkn imefumbiwa macho na NATO! kwa nini?

Leo tuko salama usalimini, twacheza, twalima, twauza!!! kwanini? na huko nyuma tuna History ya kuwaharibia ndg zetu amani?
Jirani zetu Hawali, hawanywi kwa raha! wanakufa, na hatuwasaidiii, kwa nini? Dunia inatuonaje? Who provides save heaven! Logistics support, Allowance! Shelter, Medical services, communications for all of those? mfano;

Kenya na Al-Shaabab,
Uganda-na Joseph Konyi- Kapotea, amepotelea wapi pasipo julikana km siyo humu?

Rwanda -Loraa Nkunda, nani anajua alipo!? anaishi uzuri kimyaaa! Salasala- njia panda pale kilima Hewa/ Kinzudi! hutakaa umjue!
Burundi-Intarahamwe, -TISS- walipenya ndani ya nchi wakamrudisha madarakani Nkurunzinza.

Somalia- hawalimi, hawafugi, hawauzi, hawa nunui ajili ya Al shaabab nk,

Tanzania ni kituo kikubwa cha kulea Magaidi Africa, sasa dhambi ya ugaidi inawatafuna wenyewe, imeanza kwa kina Lissu iko siku isiyokuwa na tarehe, mtaja tafunwa wooote!! ajili ya chuki na chuki za viongozi wenu, mnanyooshea dole USA, MOSSAD lkn na nyie mmejifumbia macho!!!
Peleka kahawani story zako za kuokoteza. Huna unalojua zaidi ya kula magimbi na kubwabwaja.
Ungekuwa karibu ningekutia vibao tisa vya nguvu upate akili.
Tanzania nchi yangu, kisiwa cha Amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Historia nzuri sana mpaka mwili umesimsimka !
Jamaa kweli aliamua kuwa mfia nchi potelea mbali ila ndoto yake itimie kuwakomboa wananchi wa Rwanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Peleka kahawani story zako za kuokoteza. Huna unalojua zaidi ya kula magimbi na kubwabwaja.
Ungekuwa karibu ningekutia vibao tisa vya nguvu upate akili.
Tanzania nchi yangu, kisiwa cha Amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Weee! thubutuu! umpige nani? nakata kidomo dakika sifuri!! unabisha!

TZ siyo yako ! ni ya Wakurya Tangu zamani, hata hujui thiiyo kithiwa!

moshi wa mienge? mwaka huu hakuna lumumba mmenuna!
 
Ma- Rais,
Kagame,
Mseven,
Loraa Kabila, Mkubwa na Mdogo,
Milton Obote, nk
Walianza kupigana wakiwa msituni hivo kuchukuliwa km viongozi wa makundi ya Magaidi, wakipinga serikali halali za nchi zao! zilizo ongozwa na wa-Africa wenyewe, na karibu wote walifanikiwa kwa kiwango kikubwa! kutwaa Madaraka waliyo kusudiwa!

Hawa wote walipata mafunzo Tanzania, Tangu shule za kawaida, JKT, mpaka mafunzo ya kijeshi huko Tanzani Millitary Academy (TMA) pale Monduli - Officer Cadet, wajeda wengi wamepita hapo mfano Wa Kenya, Lesotho,S/Africa, seychelles nk,

Mauaji ya Rwanda/Burundi yana Mkono wa Tanzania kwa sehemu yote, Vita ya Congo isingekuwa km ilivo kuwa bila Tanzania kulea Mgaidi wenye weredi, na imeshiriki kulea Magaidi kwa muda mrefu! tumeishi nao humu! tumesoma nao! Mfano Kabila aliishi Kipawa anakula vihepe! Lkn imefumbiwa macho na NATO! kwa nini?

Leo tuko salama usalimini, twacheza, twalima, twauza!!! kwanini? na huko nyuma tuna History ya kuwaharibia ndg zetu amani?
Jirani zetu Hawali, hawanywi kwa raha! wanakufa, na hatuwasaidiii, kwa nini? Dunia inatuonaje? Who provides save heaven! Logistics support, Allowance! Shelter, Medical services, communications for all of those? mfano;

Kenya na Al-Shaabab,
Uganda-na Joseph Konyi- Kapotea, amepotelea wapi pasipo julikana km siyo humu?

Rwanda -Loraa Nkunda, nani anajua alipo!? anaishi uzuri kimyaaa! Salasala- njia panda pale kilima Hewa/ Kinzudi! hutakaa umjue!
Burundi-Intarahamwe, -TISS- walipenya ndani ya nchi wakamrudisha madarakani Nkurunzinza.

Somalia- hawalimi, hawafugi, hawauzi, hawa nunui ajili ya Al shaabab nk,

Tanzania ni kituo kikubwa cha kulea Magaidi Africa, sasa dhambi ya ugaidi inawatafuna wenyewe, imeanza kwa kina Lissu iko siku isiyokuwa na tarehe, mtaja tafunwa wooote!! ajili ya chuki na chuki za viongozi wenu, mnanyooshea dole USA, MOSSAD lkn na nyie mmejifumbia macho!!!
Huyo mmarekani unae mtetea ndiye aliyekuwa swahiba wa kiongozi mkuu wa AL - QUEIDDA
 
Ma- Rais,
Kagame,
Mseven,
Loraa Kabila, Mkubwa na Mdogo,
Milton Obote, nk
Walianza kupigana wakiwa msituni hivo kuchukuliwa km viongozi wa makundi ya Magaidi, wakipinga serikali halali za nchi zao! zilizo ongozwa na wa-Africa wenyewe, na karibu wote walifanikiwa kwa kiwango kikubwa! kutwaa Madaraka waliyo kusudiwa!

Hawa wote walipata mafunzo Tanzania, Tangu shule za kawaida, JKT, mpaka mafunzo ya kijeshi huko Tanzani Millitary Academy (TMA) pale Monduli - Officer Cadet, wajeda wengi wamepita hapo mfano Wa Kenya, Lesotho,S/Africa, seychelles nk,

Mauaji ya Rwanda/Burundi yana Mkono wa Tanzania kwa sehemu yote, Vita ya Congo isingekuwa km ilivo kuwa bila Tanzania kulea Mgaidi wenye weredi, na imeshiriki kulea Magaidi kwa muda mrefu! tumeishi nao humu! tumesoma nao! Mfano Kabila aliishi Kipawa anakula vihepe! Lkn imefumbiwa macho na NATO! kwa nini?

Leo tuko salama usalimini, twalima, twauza!!! kwanini?

Mh!!!
 
huyo Fred Rwigema wenzako kule Rwanda wanasema Paka ndio alimuulia huko msituni kwasababu alikuwa mtu mahiri sana kwa mipango na mapigano huko msituni, hivyo paka aliona ni threat kwake kiutawala akaamua kumpoteza ili yeye ndio ashike kikosi.
 
"MOROGORO" v 1, v2 ,v4, construction! Kuna wakati nawaamini wale wanaosema sisi binaadam tuko programed! Tuendelee mkuu.
 
Chakujifunza ni vijana kujitambua kuwa hatma ya nchi yetu ipo mikononi mwetu
Vijana wa nchi tupo kama manyumbu hv hatuamki Kuna kipindi Sudan raisi alitolewa madarakani kwaajili ya kupandisha 100 kwenye mikate
 
huyo Fred Rwigema wenzako kule Rwanda wanasema Paka ndio alimuulia huko msituni kwasababu alikuwa mtu mahiri sana kwa mipango na mapigano huko msituni, hivyo paka aliona ni threat kwake kiutawala akaamua kumpoteza ili yeye ndio ashike kikosi.

Hahah na Leo ilikua ni harusi ya binti ake Rwigema.Alikuwepo Mama yake Mzazi Rwigema,mkewe Rwigema,Binti wa Rwigema aliyeolewa(Kasomeshwa na PK huko nje yuko anafanya kazi wizara ya Mambo ya nje Rwanda).

PK zkitoa nasaha za harusi,amemwambia Bibi harusi amwambie kaka yake yaani mtoto wa kiume wa Rwigyema(alizaaga na Mganda) atoke huko ukimbizini Uganda aje kwny nchi baba yake aliyeipigania na kuifia.
 
ningependa kujua ninan alimuua mwanamapinduz halisi Rwegema
 
Hahah na Leo ilikua ni harusi ya binti ake Rwigema.Alikuwepo Mama yake Mzazi Rwigema,mkewe Rwigema,Binti wa Rwigema aliyeolewa(Kasomeshwa na PK huko nje yuko anafanya kazi wizara ya Mambo ya nje Rwanda).

PK zkitoa nasaha za harusi,amemwambia Bibi harusi amwambie kaka yake yaani mtoto wa kiume wa Rwigyema(alizaaga na Mganda) atoke huko ukimbizini Uganda aje kwny nchi baba yake aliyeipigania na kuifia.
Seems like..PK anahofia revenge..anataka dogo aje ili ammalize..dogo kaamua kuish kwa mama yake
 
Seems like..PK anahofia revenge..anataka dogo aje ili ammalize..dogo kaamua kuish kwa mama yake
Tehteh ammalize ili iweje? Kwanini asimuue Mama yake Rwigema,Mkewe na binti ake walnaoishi Rwanda?PK anatumaga watu mpk huko nchi za mbali kuwamaliza atakuja kua huyo dogo aliyoko hapo Uganda tu?

Chalii mwenyewe ni Mla tungi kichizi na hana hata ulinzi wowote ule wa serikali,yaani akimtaka Ni sekunde tu ameisha.
 
Ma- Rais,
Kagame,
Mseven,
Loraa Kabila, Mkubwa na Mdogo,
Milton Obote, nk
Walianza kupigana wakiwa msituni hivo kuchukuliwa km viongozi wa makundi ya Magaidi, wakipinga serikali halali za nchi zao! zilizo ongozwa na wa-Africa wenyewe, na karibu wote walifanikiwa kwa kiwango kikubwa! kutwaa Madaraka waliyo kusudiwa!

Hawa wote walipata mafunzo Tanzania, Tangu shule za kawaida, JKT, mpaka mafunzo ya kijeshi huko Tanzani Millitary Academy (TMA) pale Monduli - Officer Cadet, wajeda wengi wamepita hapo mfano Wa Kenya, Lesotho,S/Africa, seychelles nk,

Mauaji ya Rwanda/Burundi yana Mkono wa Tanzania kwa sehemu yote, Vita ya Congo isingekuwa km ilivo kuwa bila Tanzania kulea Mgaidi wenye weredi, na imeshiriki kulea Magaidi kwa muda mrefu! tumeishi nao humu! tumesoma nao! Mfano Kabila aliishi Kipawa anakula vihepe! Lkn imefumbiwa macho na NATO! kwa nini?

Leo tuko salama usalimini, twacheza, twalima, twauza!!! kwanini? na huko nyuma tuna History ya kuwaharibia ndg zetu amani?
Jirani zetu Hawali, hawanywi kwa raha! wanakufa, na hatuwasaidiii, kwa nini? Dunia inatuonaje? Who provides save heaven! Logistics support, Allowance! Shelter, Medical services, communications for all of those? mfano;

Kenya na Al-Shaabab,
Uganda-na Joseph Konyi- Kapotea, amepotelea wapi pasipo julikana km siyo humu?

Rwanda -Loraa Nkunda, nani anajua alipo!? anaishi uzuri kimyaaa! Salasala- njia panda pale kilima Hewa/ Kinzudi! hutakaa umjue!
Burundi-Intarahamwe, -TISS- walipenya ndani ya nchi wakamrudisha madarakani Nkurunzinza.

Somalia- hawalimi, hawafugi, hawauzi, hawa nunui ajili ya Al shaabab nk,

Tanzania ni kituo kikubwa cha kulea Magaidi Africa, sasa dhambi ya ugaidi inawatafuna wenyewe, imeanza kwa kina Lissu iko siku isiyokuwa na tarehe, mtaja tafunwa wooote!! ajili ya chuki na chuki za viongozi wenu, mnanyooshea dole USA, MOSSAD lkn na nyie mmejifumbia macho!!!
ugoro
 
Back
Top Bottom