Mjue Jini Mahaba: Fahamu mengi kuhusu jini mahaba

Mwisho wake ni mbaya tu maana sharti ulilokubaliana ndio hill utalivunja siku unajua kwanini! nimada pana siku nitawapa
Cha kuelewa ni kuwa katika viumbe ambao hawawezi kuishi kwa masharti wa kwanza ni binadamu hata umudu sharti kwa muda wa miaka kumi ipo siku utateleza tu hivyo ni mambo ya kujitenga nayo mbali

Rakims
 


Wewe utaingia Jehanamu kwa Uongo, take care.
 
Uzi ulikua mtam sema zimeibuka kambi. Vinginevyo, endeleeni kutuelimisha. Mkuu Rakims na wengine mnaojua, vipi matumizi ya mnyama nguruwe katika kufukuza majini?
 
Uzi ulikua mtam sema zimeibuka kambi. Vinginevyo, endeleeni kutuelimisha. Mkuu Rakims na wengine mnaojua, vipi matumizi ya mnyama nguruwe katika kufukuza majini?
Hana uhusiano chochote na kufukuza jini isipokua ni imani tu iliyowekwa na baadhi ya mapepo kwa kujitambulisha kuwa yameshika dini ya kiislamu mkuu

Rakims
 
Asante mkuu! Lakini vipi kwa wale ambao labda hujichulia ndani Kisha akaenda kuoga chooni napo pia yanakukumba ??
 
Me mwanamke wangu ananilalamikia kua anaish na jini na humtokea mara kwa mara na kufanya nae mapenz kilazima ila me siamini hk kitu
 
Me mwanamke wangu ananilalamikia kua anaish na jini na humtokea mara kwa mara na kufanya nae mapenz kilazima ila me siamini hk kitu
Ww ndo mwenye kosa . Kifupi Umeoa mke wa mtu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi nauliza hizi picha ulizozitumia ni real au ni CGI imagination?
 
Mkuu hongera sana
Endelea kutupa maarifa hay ya bure kwa ajili ya kuuisha fikra zetu[emoji41]!!!
 
Me mwanamke wangu ananilalamikia kua anaish na jini na humtokea mara kwa mara na kufanya nae mapenz kilazima ila me siamini hk kitu
Pole mkuu ila ipo siku utapata elimu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…