Mjue Jini Mahaba: Fahamu mengi kuhusu jini mahaba

Mjue Jini Mahaba: Fahamu mengi kuhusu jini mahaba

Imani nyingine bwana, kazi kweli!


Waislamu hawakai na majinni bali uelewa mbaya wa waslam ndiyo unaofanya ionekane kama waislamu wanakaa na kufuga majini, majini waliotajwa ndani ya Qur'an ni tofauti kabisa na majini wa ( tales and fables) wanaoitwa "Genii" hawa ndio hao huyo mleta mada aliowakusudia kuwataja kama alivyowaonyesha kwenye zile picha katika post no, 1, hao ni GENII Wanaotajwa katika ngano za kubuni (tales and fables) ---_ kamwe hakuna viumbe kama hivyo alivyoonyesha kwamba vipo vinaishi hapa duniani na wala viumbe hivyo havihusiani na majini waliotajwa ndani ya Qur'an

Kwa maelezo zaidi rejea post no, 111
 
(1)"Kila kitu chenye uhai kimeumbwa kutokana na maji"

(2) "Na tumemuumba mtu kutokana na udongo utoao sauti" ---- Qur'an hiyo.

👆🏻Na hapo umeelewa nini??
Quote number 195,
kipengele cha mwisho.

Rakims
 
Kuna elimu nyingi za kuwaona lakini zote kati ya hizo zipo zinazoishia katika kushukuru au kukufuru itategemea na uliyojifunza au kufundishwa aina ya kwanza na ambayo wengi hutumia ni Mandal hii unaweza kutumia kwa kioo au macho ya kawaida lakini aina zingine si salama na pia ikiwa una imani thabiti na kinga ya mwenyezi Mungu wakikuona hawawezi kukufanya chochote sema ikiwa unawaita na huna uhakika unachofanya basi ni sawa na kumuita mwanajeshi au jambazi kwa ghadhabu na vishindo halafu akija unacheka cheka. atakacho kufanya mtajuana nyinyi wawili,

Rakims
Nakumbuka kwenye blog yako kwamba ukila Apple kwa kioo kuna kunakitu utaona. Maana yake kioo sio kitu yakitoto
 
[emoji4][emoji4][emoji23][emoji16][emoji16]jamaa ni optimistic balaa
 
Nakumbuka kwenye blog yako kwamba ukila Apple kwa kioo kuna kunakitu utaona. Maana yake kioo sio kitu yakitoto
wengine bado wanahisi kila ninachofundisha humu ni fairy tales
 
Hii ni jamii Intelligence usisahau hilo unapoweka kitu weka kama kwamba kitaonyesha how intelligence you are!

Rakims
hii sio jamii high intelligence ni jamii intelligence ,acha kututenga sisi wenye low intelligence
 
Kwa nini majini yote ni ya Kiarabu, na kizungu. sijawahi ona jini lenye sura ya kibantu, kimasai, kikurya au yana jichubua?
kama ni hivyo basi haya tuhusu sisis weusi/
hayana ukimwi?
kwa nini yanahusishwa sana na dini ya kiislamu, wakristo wengi hawanayo
 
Saa ngapi mtu mtu anaepinga ukweli akaufahamu au kuujua? Na wapi ulishawahi kuona mtu asiyejua kuandika akaandika kitabu?
You need smart mind kuelewa hili
Kwa nini majini yote ni ya Kiarabu, na kizungu. sijawahi ona jini lenye sura ya kibantu, kimasai, kikurya au yana jichubua?
kama ni hivyo basi haya tuhusu sisis weusi/
hayana ukimwi?
kwa nini yanahusishwa sana na dini ya kiislamu, wakristo wengi hawanayo
 
Saa ngapi mtu mtu anaepinga ukweli akaufahamu au kuujua? Na wapi ulishawahi kuona mtu asiyejua kuandika akaandika kitabu?
You need smart mind kuelewa hili
With kind hearten, you are pre supposedly to respond to what am asking, rather than untutored harshness, sayin ''smartness is to comply with some one jargon, you are totally wrong!''

I remind you, once again, why are they Caucasians by nature?

Mutu asiye jua kuandika atamusimulia anachojua, kwenda kwa mtu anayejua kuandika kitabu ili kufikisha ujumbe ulokusudiwa kwa hadhira, then wakiuza wanagawana mapato.
 
Then unaweza kutafuta mwenyewe walipo utawakuta,

Rakims
With kind hearten, you are pre supposedly to respond to what am asking, rather than untutored harshness, sayin ''smartness is to comply with some one jargon, you are totally wrong!''

I remind you, once again, why are they Caucasians by nature?

Mutu asiye jua kuandika atamusimulia anachojua, kwenda kwa mtu anayejua kuandika kitabu ili kufikisha ujumbe ulokusudiwa kwa hadhira, then wakiuza wanagawana mapato.
 
Back
Top Bottom