Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalizo,ni vizuri upate ambao ni perfumed ila kinyume cha hapo watu watakukimbia...[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] bonge la dili,anakula nini na mimi nile?[emoji16][emoji16]
😀😀😀😀U have made ma day!! Yaani ingekuwa bongo nadhani angeshajenga tangi la kuweka $$$ za USA. Malaria ndo ugonjwa mkali kuliko hata HIV kwa sasa
😂😂😂Angalizo,ni vizuri upate ambao ni perfumed ila kinyume cha hapo watu watakukimbia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukute mwenzenu mgonjwa wa ini[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] bonge la dili,anakula nini na mimi nile?[emoji16][emoji16]
Point ya msingi kabisa.Huyo ni hatari kwa binaadam kuwa karibu yake anapojamba.
Ni kama dawa za mbu zozote za kupuliza, unaambiwa ukiipuliza utoke haraka sana inaweza kukuletea madhara.
Dah! Huyo achunguzwe anakunywa nini siyo anakula nini tu.
Dawa za mbu za kupuliza ni hatari haswa. Zinabomoa mfumo wa fahamu wa mbu, ila hata binadamu ukiziingilia zinakubomoa pia.Huyo ni hatari kwa binaadam kuwa karibu yake anapojamba.
Ni kama dawa za mbu zozote za kupuliza, unaambiwa ukiipuliza utoke haraka sana inaweza kukuletea madhara.
Dah! Huyo achunguzwe anakunywa nini siyo anakula nini tu.
Pole SANADawa za mbu za kupuliza ni hatari haswa. Zinabomoa mfumo wa fahamu wa mbu, ila hata binadamu ukiziingilia zinakubomoa pia.
Niliwahi kupuliza dawa ya mbu na kubaki ndani ya chumba, nikashangaa baada ya dakika kadhaa siwezi kuzuia mkojo, yaani ukijaa kwenye kibofu unatoka wenyewe.
Nilipagawa.
Sent using Jamii Forums mobile app