kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
Haji manara wengi wanamfahamu kama el bugati wiki hii amekuwa gumzo kutokana na kudindishiana kifua na TFF.
Sasa za ndaaaaaani Haji Manara hii jeuri anapewa kiburi ni kiongozi mkubwa aliewahi kupita madarakani na kwa sababu tukubari Haji Manara ni mkubwa kuliko TFF na ndio maana jeuri anayopewa anafanya chochote anachotaka
#natabiri#
Manara anashinda kesi soon na TFF itakaa kimya
Sasa za ndaaaaaani Haji Manara hii jeuri anapewa kiburi ni kiongozi mkubwa aliewahi kupita madarakani na kwa sababu tukubari Haji Manara ni mkubwa kuliko TFF na ndio maana jeuri anayopewa anafanya chochote anachotaka
#natabiri#
Manara anashinda kesi soon na TFF itakaa kimya