kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
Mjidanganyehata jery muro alikuwaga na moto kama huu ukuu wa mkoa wa conection ndio ulimuokoa, popote pale fifa huwa haiingiliwi na serikali
Jerry murro sio mkuu wa mkoahata jery muro alikuwaga na moto kama huu ukuu wa mkoa wa conection ndio ulimuokoa, popote pale fifa huwa haiingiliwi na serikali
Hawa ndio wale kila jambo anataka na yeye alianzishie thd hata kama hana data zozote! Ni kiherehere tu.Mtoa uzi huu ni uongo, na uongo ni tabia chafu mno bora uwe mchawi,taja Jina la huyo kiongozi na weka facts hapa za kumhusisha na Mr.Manaragate
Kwahiyo huyio kiongozi alihama na Manara kutokea Simba? Maana Manara alikuwa msema hovyo tokea akiwa SimbaHaji manara wengi wanamfahamu kama eli bugati wiki hii amekuwa gumzo kutokana na kudindishiana kifua na Tff,
Sasa za ndaaaaaani haji manara hii jeuri anapewa kiburi ni kiongozi mkubwa aliewahi kupita madarakani na kwa sababu tukubari haji manara ni mkubwa kuliko Tff na ndio maana jeuri anayopewa anafanya chochote anachotaka
#natabiri#
Manara anashinda kesi soon na Tff itakaa kimyaView attachment 2303900
kwani kuna kesi au hukumu?#natabiri#
Manara anashinda kesi soon na TFF itakaa kimya
Mzee wa kukenua kenua ana akili atamtosa sope wala hataaminiHaji manara wengi wanamfahamu kama el bugati wiki hii amekuwa gumzo kutokana na kudindishiana kifua na TFF.
Sasa za ndaaaaaani Haji Manara hii jeuri anapewa kiburi ni kiongozi mkubwa aliewahi kupita madarakani na kwa sababu tukubari Haji Manara ni mkubwa kuliko TFF na ndio maana jeuri anayopewa anafanya chochote anachotaka
#natabiri#
Manara anashinda kesi soon na TFF itakaa kimya
View attachment 2303900