Mjue kwa undani msemaji wa wananchi

Kumbe Kila akizimia wataalamu huchukua hadi kipimo cha mkia wa mbele.

Duh! Kuzimia ni kubaya jamani kuna siku mtu anaweza Kuzimia akapimwa upana wa mlango wa nyuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Handsome wetu 😍😍😍😍😍😍😍
Hadi wanaume wa upande ule wanamtamani ona hiyo nini? Aliyeandika hayo yote ni wa timu pinzani. Ndiyo utajua watu walionao ni wa aina gani. Ahsante Rage.
 
Handsome wetu 😍😍😍😍😍😍😍
Hadi wanaume wa upande ule wanamtamani ona hiyo nini? Aliyeandika hayo yote ni wa timu pinzani. Ndiyoutajua watu walionao ni wa aina gani. Ahsante Rage.
Kumbe ni ka handsome kenu, sikulijua hiliπŸ˜‚
 
Mbona ni kama unamuandaa awe na mwanasheria?
 
Sema ana utoto mwingi sana ile siku ametoa mkataba wa Yusuph kagoma hadharani na kuusema uwanja wa AZAM nikajua kweli dogo hana washauri na wengi wanamuombea mabaya ila yeye mwenyewe anajua wanampenda.
 
Unajua hadi urefu wa dhakari ya dume jenzio ??? Mapunga hayaishi dunia hii
 
MBONA KIPIMO CHAKE CHA UUME KIMEZIDISHWA MARA 3 ?? KULIKUWA NA UMUHIMU GANI KUKIZIDISHA HIVYO?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…