Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 77
- 271
Na Comrade Ally Maftah
PACOME WA MCHONGO
Leonel Ateba mshambuliaji wa Simba Sports Club mwenye jezi namba 13, amezaliwa tar 6 Feb 1999 ( 25 ) Cameroon Douala, ambae ametokea USM Alger, iliyopo Algeria ana urefu wa sentimita 183. pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Cameroon
Leonel Ateba akekuja kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya Simba akichukua nafasi ya Fred Kobran,
SIFA ZINAZOFANYA LEONEL ATEBA AWE NYOTE WA TANZANIA.
1. Amecheza mechi moja na kuweza kufunga goli.
2. Upungufu wa safu ya ushambuliaji ya Simba unampa Ateba nafasi ya kutoa matumaini kwa mashabiki wa Simba
Comrade Ally Maftah
PACOME WA MCHONGO
Pia soma:Ateba ni Mnyama, Asaini miwili msimbazi
PACOME WA MCHONGO
Leonel Ateba mshambuliaji wa Simba Sports Club mwenye jezi namba 13, amezaliwa tar 6 Feb 1999 ( 25 ) Cameroon Douala, ambae ametokea USM Alger, iliyopo Algeria ana urefu wa sentimita 183. pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Cameroon
Leonel Ateba akekuja kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya Simba akichukua nafasi ya Fred Kobran,
SIFA ZINAZOFANYA LEONEL ATEBA AWE NYOTE WA TANZANIA.
1. Amecheza mechi moja na kuweza kufunga goli.
2. Upungufu wa safu ya ushambuliaji ya Simba unampa Ateba nafasi ya kutoa matumaini kwa mashabiki wa Simba
Comrade Ally Maftah
PACOME WA MCHONGO