Elections 2010 Mjue mgombea mwenza wa CHADEMA

who is he?

hebu tupeni wasifu wake tafadhali........
 
Ndugu Omari Ilyas, nimesoma maswali yako nimeyaelewa. Yanachokonoa ubongo. Lakini, kwa maoni yangu, na hii ndio bottom line, swali muhimu zaidi ni hili: Je, Said Mzee said anazo sifa muhimu kwa mujibu wa Kkatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Huu ndio msingi mkuu kuhusu nani anapaswa na anaweza kuwa mtumishi wa umma katika ngazi zote, kuanzia Ikulu mpaka kwenye kitongoji. Kama jawabu kwa swali hili ni ndio, basi, tumuunge mkono. Lakini, kuna angalizo, kama jibu ni ndio, ila tatizo ni kwamba vigezo vya Kikatiba ni hafifu, basi hilo ni tatizo kubwa zaidi. Tunayo maoni gani kuhusu maswali haya mawili?

Nivoj Sued.

 
Kweli hawa Chadema hawakuji andaa kusimamisha mgombea urais bali wamekurupuka tu (wame kurupushwa) Habari ya kutuletea mgombea mwenza ( makamu wa rais mtarajiwa ) kuwa mhitimu wa darasa la saba ni joke ya mwaka.

Dr Slaa anatetea hili na kudai Sokoine pia alikuwa na elimu ndogo anasahau au hajui au kwa makusudi anapotosha kuwa Sokoine alikuwa darasa la saba.

Talk about kufanya mambo zima moto style!


 
Tembelea hapa

Said Mzee MZEE - Tanzania | LinkedIn

 
SKada2
Source makamba nini kama ni hilo gazeti mbona hujaweka toleo gani ?maana jamaa anafundisha na ana masters.

Ambaye hana elimu ni mkwere aliyepelekwa chuo kikuu kwa kuwa alikuwa kada wa CCM na kuhamasisha wakwere

wasome.Na hii ilijihirisha wazi alipo ibuka na GPA 2.0 ,ilikuwa a disco ila kwa kuwa kada ndio wakamtoa kimaso maso kwenye

mstari 2.0. Evidance zaidi ni maneno yake si ya kielimu,ilipoifikisha nchi ilipo si kwa status ya mtu aliyesoma uchumi na

inasikitisha zaidi hata mazungumzo ya kawaida na viongozi wenzake anasoma alichoandikiwa poor mkwere labda mtuambie

inasababishwa na magonjwa yake.Alitia aibu zaidi alipokuwa anaongea na Obama.
 
Bosi wake Slaa anasema ni darasa la saba, hiyo link inadai yeye ni "lecturer" lakini haionyeshi kasomea wapi ili nasi tupate kudadavua hapa
 
Dr Kikwete akiongea??? na Obama........... "Aiseee, sijui niliishia wapi kuongea....."

 
Bosi wake Slaa anasema ni darasa la saba, hiyo link inadai yeye ni "lecturer" lakini haionyeshi kasomea wapi ili nasi tupate kudadavua hapa
Mambo huwa hayaendi hivyo kama unataka kuona full profile kwenye hiyo link lazima uwe member wao join na wewe utoe profile yako sio kuomba profile za wenzako tu.
 
Bwana we huyu mtu hamna kitu mimi nilishasema mapema mbona chadema wanapoteza network...si bora wangemchaguwa Hamad Yussuf walau kafika O-level?
 
Bwana we huyu mtu hamna kitu mimi nilishasema mapema mbona chadema wanapoteza network...si bora wangemchaguwa Hamad Yussuf walau kafika O-level?

so o'level na master elimu kubwa ni ya o'level ,basi tuna kazi
 

Tatizo liko wapi kwani hao madokta wameshatufanyia nini? Angalau anajuwa Kingereza atakuwa kiungo mzuri katika shirikisho la Afrika Mashariki kwani hivyo ni kitu adimu hata kwa magraduates wetu!
 
Darasa la Saba? Impossible... Una maana STD 7!?
 
Said Mzee MZEE’s
Experience
LECTURER
ZIFA
(Education Management industry)

Currently holds this position

Ndiye huyu ? Nafikiri tunahaki ya kujua zaidi kuhusu huyu mgombea...
 
hee mbona mgombea mwenza kanuna?!

nini kifefu cha ZIFA?
 
raisi hamna pale anasoma hotuba ,anasoma hata mazungumzo ya kawaida tuu sasa chek Obama anavyomchora sijui anacheka kaamua kuficha mdomo, ,CHADEMA hawawezi kuchagua mgombea mwenza std 7 ,kuna ma doctor na ma prof kibao chamani ,mgombea wetu mwenyewe dr halafu mgombea mwenza awe la saba wataelewana vipi?acheni ujinga hapa tuelimishane bwana
 
Dr Kikwete akiongea??? na Obama........... "Aiseee, sijui niliishia wapi kuongea....."


Nimcheka sana ile picha ya mazungumzo na obama.... ... Hahah...
Nafikiri huyu jamaa siku analipokutana na FL1 aliandikiwa maneno..........akawa anamsomea FL1.........kama ifuatavyo.......

Ndugu Mhusika(yaani FL1), mimi ni jeykey
Dhumuni hasa la kukuita leo ni.....................
Mwisho nitashukuru sana kama nitajibiwa ombi langu natanguliza shukrani
Wako katika ujenzi wa taifa.
Ha ha haaa....................Aiseeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…