Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio huyo babu??Kumbe we jamaani mkubwa hvyo kwa umri!!! Salalee na bado uko kwenye uchawa tu?!
Huyu chawa wa mboe…EncryNdio huyo babu??
HATA mm NINGEKUWA chawaUchaguzi wa chadema umisha isha ,
Mungu ibariki JFKumbe we jamaani mkubwa hvyo kwa umri!!! Salalee na bado uko kwenye uchawa tu?!
Bado, Unafanyika KeshoUchaguzi wa chadema umisha isha ,
Hakika, ila wakati ule hawakuitwa Naibu Waziri, Waliitwa Waziri mdogo..Lumuli Alipipi Kasyupa aliwahi kuwa Mbuge wa Kyela, na Naibu Waziri, wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere.