Mjue mwanamke

No 5 nikikasirika sanaaaaaa
No 2 nikikasirika kawaida.... Naweza ongea usiku kucha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kuna ka x kamoja kalinikera nilianza kuongea saa tano ya usiku kanibembeleza weee wapiiiiii naongea tu akaona isiwe tabu kalala kimya, mie hapo naongea tu, kastuka saa tisa usiku kakuta bado naongea tu......
 
😂😂😂😂😂


Nifundishe kuongea aisee.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naomba koz ya kuongea aisee

Cc Kingsmann
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila bora dear ulivyofupisha jina mmojawapo mimi yaani ulikuwa unanipa shida
 
Shida yatano kuna jirani hapa akigombana namkewe anahamisha watoto wallah anamchoma yoyote kisu. Yaani Mumewe yupo kama jambazi kwa kuchomwa visu na vigae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…