Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
AINA ZA HASIRA ZA WANAWAKE.[emoji1362]
Dr love Gilly
[emoji519][emoji519][emoji519][emoji519][emoji519][emoji519][emoji519]
1. Kuna mwanamke ambaye akikasirika, huishia kulia tuu!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]
2. Lakini mwingine akichukia, anaongea saanaa muda wote hadi ikukere!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]
3. Mwanamke mwingine akikasirika, ananuna, haongei! Mtapishana tu kimya kimya. Mawasiliano kibubu-bubu. Shavu limejaa kama Kobra!
4. Mwingine akishikwa na hasira, period ya ghafla ghafla inafuata!
[emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257]
5. Wako wanawake ambao, akichukia, Atakachokishika usipokimbia anakutandika na anaweza kukuchoma na kisu,, majuto baadaye!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]
6. Mwanamke mwingine akikasirika, hasira zake zinaishia kwenye kuvunja-vunja vyombo. Au saa nyingine kugombeza-gombeza wafanyakazi na watoto! Dizaini hii, huwa ni wale waliokosa kukidhiwa haja za kihisia/ ndoa na waume zao!
[emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526]
7. Mwanamke mwingine akikasirika, Mtajuana kitandani panapo usiku, Nakwambia utaungama yoote!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]
8. Kuna wengine wakitibuliwa, hukimbilia kufunga mabegi na kuondoka!
[emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526]
9. Wapo ambao wakikasirika, wanagoma kupika!
10. Wengine wakichukia, wanaamua kwenda kulala kimyaaa!!
[emoji532][emoji532][emoji532][emoji532][emoji532][emoji532][emoji532]
11. Wanawake wengine wakikasirika, tumbo linakata, na pengine mpaka wanaharisha!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]
13. Wako ambao wakishikwa na hasira, huingia kwenye maombi na kuugua kusikoweza kutamkwa. Uchungu ukiisha, wananawa uso na kwenda sokoni.
[emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526]
14. Yuko ambaye akishikwa na hasira, hucheka saaanaaa.... Hutajua kama amekasirika! Dizaini hii ni hatari sana, maana anaweza kukudhuru kiurahisi.
[emoji1362][emoji1362][emoji1362][emoji1362][emoji1362][emoji1362]
**HIZI NI HASIRA WALIZONAZO WANAWAKE**
Dr love Gilly
[emoji519][emoji519][emoji519][emoji519][emoji519][emoji519][emoji519]
1. Kuna mwanamke ambaye akikasirika, huishia kulia tuu!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]
2. Lakini mwingine akichukia, anaongea saanaa muda wote hadi ikukere!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]
3. Mwanamke mwingine akikasirika, ananuna, haongei! Mtapishana tu kimya kimya. Mawasiliano kibubu-bubu. Shavu limejaa kama Kobra!
4. Mwingine akishikwa na hasira, period ya ghafla ghafla inafuata!
[emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257]
5. Wako wanawake ambao, akichukia, Atakachokishika usipokimbia anakutandika na anaweza kukuchoma na kisu,, majuto baadaye!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]
6. Mwanamke mwingine akikasirika, hasira zake zinaishia kwenye kuvunja-vunja vyombo. Au saa nyingine kugombeza-gombeza wafanyakazi na watoto! Dizaini hii, huwa ni wale waliokosa kukidhiwa haja za kihisia/ ndoa na waume zao!
[emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526]
7. Mwanamke mwingine akikasirika, Mtajuana kitandani panapo usiku, Nakwambia utaungama yoote!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]
8. Kuna wengine wakitibuliwa, hukimbilia kufunga mabegi na kuondoka!
[emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526]
9. Wapo ambao wakikasirika, wanagoma kupika!
10. Wengine wakichukia, wanaamua kwenda kulala kimyaaa!!
[emoji532][emoji532][emoji532][emoji532][emoji532][emoji532][emoji532]
11. Wanawake wengine wakikasirika, tumbo linakata, na pengine mpaka wanaharisha!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]
13. Wako ambao wakishikwa na hasira, huingia kwenye maombi na kuugua kusikoweza kutamkwa. Uchungu ukiisha, wananawa uso na kwenda sokoni.
[emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526]
14. Yuko ambaye akishikwa na hasira, hucheka saaanaaa.... Hutajua kama amekasirika! Dizaini hii ni hatari sana, maana anaweza kukudhuru kiurahisi.
[emoji1362][emoji1362][emoji1362][emoji1362][emoji1362][emoji1362]
**HIZI NI HASIRA WALIZONAZO WANAWAKE**