Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Sir Lionel Luckhoo amezaliwa Machi 2, 1914 New Amsterdam na alifariki Desemba 12, 1997. Alikuwa mwana sheria kuanzia mwaka 1940 hadi 1985
Mwaka 1990 aliingia rasmi kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guinness kama mwanasheria aliyeshinda kesi nyingi za mauaji ambapo alishinda kesi 245
Ni kesi chache wwateja wake walishindwa ambazo pia alishinda kwenye rufaa
Mwaka 1990 aliingia rasmi kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guinness kama mwanasheria aliyeshinda kesi nyingi za mauaji ambapo alishinda kesi 245
Ni kesi chache wwateja wake walishindwa ambazo pia alishinda kwenye rufaa