blackkodi
Member
- Aug 20, 2024
- 73
- 130
😂😂😂 daaah ina maan hat zile mov za chucknorries na carlos hujaangalia maana hiyo inchi imetumika sana kwenye filamu za hollywoodHii Dunia ni kubwa aloo ...ndio naisikia Leo hyo nchii mkuu wangu🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 daaah ina maan hat zile mov za chucknorries na carlos hujaangalia maana hiyo inchi imetumika sana kwenye filamu za hollywoodHii Dunia ni kubwa aloo ...ndio naisikia Leo hyo nchii mkuu wangu🤔
Mbinu nzuri hii!!!We naye hakuna unacho jua ndio madhara ya ku copy habari, sasa umewaacha wajinga humu wadhania kwamba labda anawaua wahalifu kumbe katika njia za kuoambana na wahalifu hajawahi ua ila kafanimiwa kukamata maganhmgster zaidi ya 30,0000/
Huyu aliweka amari ya hatari au alitangaza amri ya hatari, na pia alitumia njia nyingi ikiwemo kukata source of income hasa biashara za madawa ya kulevya za hayo makundi. Wale wafashili wa kuu wa magangster nao walikamatwa, na wale wanao kamatwa hupigwa chata wote ambazo hazifutiki kamwe hata wakitoroka bado watakamatwa tu.
Huyu Rais wake si mjui!Kama anashanga El Salvador vipi kuhusu nchi yq Suriname😆😆😆
Nadhani ni hatari sana...kuweka pamoja wahalifu kwa wingi huo pamoja labda Kuna madawa anawanywesha...!Kajenga bonge la gereza,South America hakuna linalifikia kwa kuchukua watu wengi na mlinzi wake ni mkali...now lina wafungwa kama 15k na nafasi ipo ya kutosha imebaki inawasubiri wengine.
Ni kwel alooo ckusomaa kbs 😅Utakuwa hukusoma shule ww ni mtu pori itoshe kusema hvo samahani
NwafrikA yeye anawaza kuua tu. Kuna watu wana roho za kishetani hapo juu walishakuwa wanawaza Shaba tu.We naye hakuna unacho jua ndio madhara ya ku copy habari, sasa umewaacha wajinga humu wadhania kwamba labda anawaua wahalifu kumbe katika njia za kuoambana na wahalifu hajawahi ua ila kafanimiwa kukamata maganhmgster zaidi ya 30,0000/
Huyu aliweka amari ya hatari au alitangaza amri ya hatari, na pia alitumia njia nyingi ikiwemo kukata source of income hasa biashara za madawa ya kulevya za hayo makundi. Wale wafashili wa kuu wa magangster nao walikamatwa, na wale wanao kamatwa hupigwa chata wote ambazo hazifutiki kamwe hata wakitoroka bado watakamatwa tu.
Maldives Tuvalu Seychelles Saint Marino Monaco Vatican Pulau Grenada Malta Sao Tome na PrincipeKama anashanga El Salvador vipi kuhusu nchi yq Suriname😆😆😆
Madhara ya shule za kata.Hii Dunia ni kubwa aloo ...ndio naisikia Leo hyo nchii mkuu wangu🤔