Mjue Oladee, kichwa kinachotembea akiwa analia bila Passport

Mjue Oladee, kichwa kinachotembea akiwa analia bila Passport

9d17f7ea-f923-4d6b-8564-d9d844a7c28c.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Raia wa Nijeria aliyepata umaarufu kwa kulia

Umaarufu unakuja kwa aina tofauti wengine unakuja kwa kunywa pombe kama ilivyokua kwa Piere, Mwingine unakuja kama huu wa ujugu baada ya kukoment kwenye page za Aston Vila ha ha !

Anaitwa #Oladee kijana mzaliwa wa Nigeria. Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Ilorin nchini Nigeria.

Mwaka 2009 Oladee alipata mkasa mkubwa ambapo baadaye mkasa huo ukamfanya kuwa mtu maarufu. Alipewa Naira 200 sawa na Tsh. 1,200 na bibi yake kununulia mahitaji ya chakula

Aliongozana na rafiki yake aliyemshawishi acheze Kamari. Hela yote aliyopewa ikaliwa kwenye kamari (bet), hapo bwana Oladee alipoanza kulia ili arudishiwe hela yake

Walimpiga picha na kichwa chake kinatumika kwa kupachikwa kwenye picha tofauti tofauti za kuchekesha

Watu wanamwita kichwa kinachotembea bila ‘passport’ kwa sababu picha yake hii imesambaa Dunia nzima na watu wanaihariri ‘edit’ kwa kuifanyia vituko #motratv
 

Attachments

  • FB_IMG_1590137020295.jpg
    FB_IMG_1590137020295.jpg
    22.5 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1590236477567.jpg
    FB_IMG_1590236477567.jpg
    22.2 KB · Views: 3
  • 9021b818404f82c659f2ab384f9022b9.jpg
    9021b818404f82c659f2ab384f9022b9.jpg
    17.2 KB · Views: 3
Back
Top Bottom