Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma mpaka nikakuta sentensi kuwa WAZIRI MKUU WA UINGEREZA ni THERESA MAY!, Hapo nikapumzika kwanza. Ku-rewind akili yangu kwanza.
Historia ya mama imetukuka huoni hata sehemu moja alihamasisha upumbavu!
Anachaguliwa na House of people representatives kwa miaka 6 with 2 time limit.Huyu anapatikanaje?anapigiwa kura au Rais ndo anamteua?
Umesikilia wapi mkuu?nasikia jiwe ameonekana sehemu na barakoa
Anachaguliwa na bunge la nchi.Huyu anapatikanaje?anapigiwa kura au Rais ndo anamteua?
Inasemekana lipo kati ya ngorongoro creator au mlima Kilimanjaro na hii ndiyo baraka ya nchi yetu.Karudisha sanduku la Agano?
Mshekuu hizo ni story tuu za vijiwen hakuna kitu kama hichoInasemekana lipo kati ya ngorongoro creator au mlima Kilimanjaro na hii ndiyo baraka ya nchi yetu.
Ndani ya hilo sanduku mna zile mbao mbili Mungu alizoandika amri pia kuna fimbo ya haruni iliyochipuka na kopo au bakuli la dhahabu lenye mana.
Mmh hili tutalitegemea pia ujio huuu Wa huyu malikia(rais) mwingine Wa EthiopiaMalkia wa Shaba alimtembelea mfalme Solomon alimpelekea zawadi za vito vyenye gharama kubwa.
Inasemekana mfalme alimtunuku malkia zawadi ya ujauzito.
Ukisoma maandiko kadhaa huyo kijana mwana wa mfalme miaka fulani alienda kumtembelea babaye, wakati huo Solomon akiwa mzee wa miaka mingi.
Kijana alikwapua lile sanduku la agano la Mungu akarejea kwao Ethiopia, mwisho akafanya utalii Tanzania na lile sanduku akaliacha Tanzania,
Ndiyo hivyo, unabisha nini, niambie wewe
Karibu nyumbani mgeni wetu.
umejtahid kweli kufafanua mwisho umeharibu kuelezeaEthiopia wanatumia Mfumo wa uongozi kama wa India, Ujerumani, Israel nk ambapo Rais anakuwa Mkuu wa Nchi tu kwa hiyo cheo chake ni cha heshima (Ceremonial) tu, Serikali inaongozwa na Waziri Mkuu ambaye anaunda Baraza la Mawaziri na anatokana na Chama chenye Wabunge wengi Bungeni.
Mfumo wa kwetu ambao haufai kabisa, Rais ndio kiongozi wa Nchi na Serikali akisaidiwa na Makamu ambaye ni Rais mtarajiwa endapo Mungu atampenda zaidi Rais akiwa madarakani. Rais ndiye anateua Mawaziri na Waziri Mkuu ambao lazima wawe Wabunge na ndio wanaunda Baraza la Mawaziri na Waziri Mkuu akiwa Mkuu wao na kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni.
Rais wa kwetu ndo pia anateua watumishi wote muhimu Serikalini na Mashirika ya Umma ndio maana nchi ikipata Rais dhaifu mambo mengi yanakwama kwa sababu wateule ni wengi mno kwa mtu mmoja kufuatilia utendaji kazi wao. Pamoja na kuwa ni wajibu wa mteuwa kuteua na kutengua (hire & fire), lakini teua/tengua zikizidi unakuwa ni uthitisho wa udhaifu wa mteuwa.
Hana mamlaka kamili, ni ceremonial president. Hana mamlaka wala ushawishi mkubwaNaomba kujuzwa huyu ki mamlaka nchini Ethiopia yukoje, maana anayesikika sana ni waziri mkuu.
Isije akawa anajua kusema mambo, habari gani, halafu kafika mwisho
25 January 2021
Chato, Geita
Tanzania
Hotuba ya Mh. Rais Sahle-Work Zewde wa Ethiopia leo huko Chato , Tanzania