Mjue Rais wa Ethiopia Sahle-Work Zewde atakayeitembea Tanzania 25 January 2020

[emoji23] [emoji23]
Nimesoma mpaka nikakuta sentensi kuwa WAZIRI MKUU WA UINGEREZA ni THERESA MAY!, Hapo nikapumzika kwanza. Ku-rewind akili yangu kwanza.
 
Hakuna udhaifu katika kutengua. Usipotekeleza majukumu yako kama kiongozi utatenguliwa tu na wengine watachukua nafasi yako. Tanzania ina watu millioni 66 ikibidi kila mtu ataongoza tu tutabadilishana uongozi mpaka kieleweke.
 
Karudisha sanduku la Agano?
Inasemekana lipo kati ya ngorongoro creator au mlima Kilimanjaro na hii ndiyo baraka ya nchi yetu.

Ndani ya hilo sanduku mna zile mbao mbili Mungu alizoandika amri pia kuna fimbo ya haruni iliyochipuka na kopo au bakuli la dhahabu lenye mana.
 
Inasemekana lipo kati ya ngorongoro creator au mlima Kilimanjaro na hii ndiyo baraka ya nchi yetu.

Ndani ya hilo sanduku mna zile mbao mbili Mungu alizoandika amri pia kuna fimbo ya haruni iliyochipuka na kopo au bakuli la dhahabu lenye mana.
Mshekuu hizo ni story tuu za vijiwen hakuna kitu kama hicho
Kumbuka pia dini ni biashara kama biashara nyingine
 
Mmh hili tutalitegemea pia ujio huuu Wa huyu malikia(rais) mwingine Wa Ethiopia
 
umejtahid kweli kufafanua mwisho umeharibu kuelezea
 
Isije akawa anajua kusema mambo, habari gani, halafu kafika mwisho

25 January 2021
Chato, Geita
Tanzania

Hotuba ya Mh. Rais Sahle-Work Zewde wa Ethiopia leo huko Chato , Tanzania

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…