Mjue refa Martin Saanya

Kuendelea kumtumia Martin Sanya bora wachezaji wacheze pekee yao.

Ni kijamaa fulani kipuuzi ila kinashindwa kujitambua.
 
Je Refa aliye sema ni off side,mechi ya KMC na Simba yeye yuko wapi au ndo kunya anye kuku bata akinya ameharisha.
 
Naamini umesikika kiongozi.

Wewe ni mpenzi wa timu ipi hapa bongo?
 
Mikia mmeanza kutisha ma refa. Kuhonga na mbeleko ya TFF havitoshi?
Haji kawatuma au akili zenu?
 
Huyu refa is an idiot, nashangaa eti ana begi ya FIFA!!! Hizi ndio takataka zinazoitia aibu nchi. Alishindwaje kuona kwamba lile goli walilofunga Geita Gold lilikuwa goli halali? Why didn't he consult the nearby linesman?
 
Huyu refa is an idiot, nashangaa eti ana begi ya FIFA!!! Hizi ndio takataka zinazoitia aibu nchi. Alishindwaje kuona kwamba lile goli walilofunga Geita Gold lilikuwa goli halali? Why didn't he consult the nearby linesman?
Miamala Kiongozi. Anasomesha watoto, anajenga, anataka starehe kama binadamu wengine πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyu refa is an idiot, nashangaa eti ana begi ya FIFA!!! Hizi ndio takataka zinazoitia aibu nchi. Alishindwaje kuona kwamba lile goli walilofunga Geita Gold lilikuwa goli halali? Why didn't he consult the nearby linesman?
Maelekezo kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…