Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anauza shngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiria nitumie picha na Baby Doll then natuma/naleta mrejesho.Weka picha ya anayemzidi kwa shape kali wacha maneno
Shogaaa anakopesha [emoji23]
Dah!!...kwani ugumu unatoka wapi mimi kula kwa kutumia kitu kingine tofauti na macho Baby Nimah?
[emoji23][emoji23]
"Enough of No Love"
[emoji23][emoji23] kwani hadi insta wakopaji wapo? Nilijua wapo Jf tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na watu ndo mimi [emoji23][emoji23][emoji23] vitu vya watu hivi
Haujaipata tuu?Subiria nitumie picha na Baby Doll then natuma/naleta mrejesho.
"Enough of No Love"
Na watu ndo mimi [emoji23]
"Enough of No Love"
Mkuu kitu kizuri huwa kinaonekana tu...kama unasifa zako kali kumzidi siwezi kukubania...unfortunately humu tunatumia fake id but tungekuwa tunatumia majina halisi ngechungulia hata account yako ig nikupe credits zako kama unastahili...mbona huyu sijamsifia sura sababu meona sura ni wakawaida but shape mashalllahMkuu wewe sema kwamba kati ya wanawake wote uliodate nao huyo ndiyo kawafunika kwa shape. Hamna kitu hapo. Unajua macho yako yamekuambia huyo ndiyo ana shape hivyo hata ukiona yangu utaona si shape kwa sababu wewe ushadanganywa na macho yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]wanapenda sana kukopa[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe jf wanakopa??
Wacha anizoom tu maana kila kilicho kitamu kina walaji wengi.[emoji23]Weee mwenye mali yupo humu ndani anakuzoom too
Khantwe
[emoji23][emoji23]wanapenda sana kukopa
Sent using Jamii Forums mobile app