Mjue Slimthickleilah, mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa

Mjue Slimthickleilah, mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa

Nimekuja fasta[emoji19]ila niliyokutana nayo.

Kanizidi thou, ila sio Africa nzima tembea uone.
Mkuu leta picha ya mrembo yoyote unayedhani anamzidi tufanye comparison hapa
 
Mkuu wewe sema kwamba kati ya wanawake wote uliodate nao huyo ndiyo kawafunika kwa shape. Hamna kitu hapo. Unajua macho yako yamekuambia huyo ndiyo ana shape hivyo hata ukiona yangu utaona si shape kwa sababu wewe ushadanganywa na macho yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kitu kizuri huwa kinaonekana tu...kama unasifa zako kali kumzidi siwezi kukubania...unfortunately humu tunatumia fake id but tungekuwa tunatumia majina halisi ngechungulia hata account yako ig nikupe credits zako kama unastahili...mbona huyu sijamsifia sura sababu meona sura ni wakawaida but shape mashalllah
 
Back
Top Bottom