Mjue Slimthickleilah, mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa

Mjue Slimthickleilah, mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa

Huyu binti ni malaya,nakumbuka video yake tulishaipitia kule jukwaa la watu wazima kuna njemba ilikuwa inampaka mafuta sehemu zake zote za haja wewe leo unakuja kumsifia hapa.
Mkuu mimi nilichosifia hapa ni shape sio tabia..
 
Mwanamke mwenye shepu nzuri kwangu awe na kitambi. Kama mwanamke hana kitambi huyo kwangu ni shapeless

.
 
Hana jeuri ya kummiliki demu kama huyo
 
Mkuu pole hujawahi kupata au kukutana na mademu wenye shepu kushinda huyo....huyo demu ukikutana nae live sio kama kwenye picha wanaedit sana..
Halafu hicho kinauza..mfate DM kwenye insta yake muulize bei yake uone atakavyokutajia haraka.
 
Tatizo watu wengine mkichanganyikiwa mnataka na wengine tuchanganyikiwe please acha HAYA NDO MATATIZO YA KUVUTA KISIRISIRI....
 
Back
Top Bottom