adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Ukiunganisha hizi Nyuzi kuna watu tayari washapatikana.Mpaka na Dawati ulilo kaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh sawa
Asili Idondyandole, bt home Mitundu -Mgandu ,napajua hiyo mitaaWe utakua ndugu yangu
Sijasoma hizo shule ulizozitaja
Ila hizo sehemu ya pili na ya tatu wamejazana ndugu Wa ukoo wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀 Haya broMarahaba mdogo wangu muhenga[emoji23][emoji23]
Huyo ni mtoto wa shangazi😂😂😂wee mdogo wako si nilisoma nae Naura Secondary!!
😄😄😄😄
Maisha ya pale ni msoto kweli kweli. Ni kama maisha ya jelaOoh sawa
Maisha ya pale yalinishinda ikabidi nihame .
Teh wali ulikua unadunda kama kitenesi. Halafu kuupata lazima ugombanie utafikiri wazazi hawwlipi ada.Hahaha magumu haswa sikuamini huo wali siku ya Kwanza nakula , nilikuwa nashinda na njaa nikadevelop ulcers .
Sent using Jamii Forums mobile app
Namjua banaHehehhe Hakuna shkamoo hapa
Wakat hata Babu Shimba humjui
Kujua lugha hakutegemei shule uliyosoma bali juhudi zako za kujifunza lugha husika. Mf.I
Wewe hata kiswahili hujui. Hovyo unaandika ovyo.
Sent using Jamii Forums mobile app