Mjue uliyesoma naye Shule ya Msingi au Sekondari

Hivi hakuna aliyesoma Arusha Felix Mrema Sec.School humu??
 
Shule nimeisahau jina ila kulikuwa na fimbo nyingiiii halafu wanafunzi wabishiii!! Sikuwa na siti maalum,kukaa ilitegemea na ubabe.. akija mwalimu asie wa darasa husika akiulizia majina ya wapiga kelele kwa monta,monta mwenyewe alikuwa akijibu kuwa monta hayupo!!
 
Savanna primary school


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…