Mjue uliyesoma naye Shule ya Msingi au Sekondari

Mjue uliyesoma naye Shule ya Msingi au Sekondari

Hahahha sasa Mzee lyamungo walikua sio kivile mpka watoke kibosho ni Leo??Umbwe mademu zao walikua machame girls hadi walikua wanajiita "UMACHA". Ila pia sipingi sana point yako maana kuchukua watoto wakali ni ujanja wako tu....advantage tuliokua nayo old moshi ni kwamba tuko town,alafu free kujiachia,kila weekend pub Alberto na La liga ulikua hutukosi...kila alhamiss na jmoss full kuzamia YMCA pale kwenye maharusi na send offs....ikifinyika graduu yoyote ya shule za girls mkoa wa Kilimanjaro huwezi kosa watoto wa old moshi hata siku moja

Sent using Jamii Forums mobile app
Old Moshi mademu zenu walikuwa Mawenzi, hata hivo nao hawashikiki wana kibao walikuwa wanawachukua. Kibosho ndo walikuwa geti kali, hao wengine wa kishua kina Marry G na Eugene tulikuwa tunakula nao sahani moja likizo na kipindi cha mwishoni pale kwenye graduation kibao za clubs. Kuna watu walikuwa wanajilipua wanaenda vikao vya wazazi kutembelea mademu zao na kutoa hoja kwenye vikao. Kina Kifaru kule hamna kitu, ukija Machame kule wako mbali kiasi sema tulipewa connection nao sana yani, ingawa Umbwe ndo walikuwa hata Jumapili wanasali nao. Majengo ni chama la wana hawachagui mtu na wanajiachia tu. Kingine, kusema ukweli ni wakali ile mbaya.
 
Shule ya msingi kazembe STD 1
Shule ya msingi ipuli STD 2 mpaka 3
Shule ya msingi kitete 4
Ndio ukawa mwisho wangu baada ya kufel darasa la nne zaidi ya mara tano uku umri ukisogea sana ilifikia mpaka kipindi nikawa naamkiwa na walimu ,mkuu wa shule alinishauri niache shule maana aliona dalili ya mimi kuanza kuzaa na wanafunz wenzangu au walimu wangu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu wewee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Old Moshi mademu zenu walikuwa Mawenzi, hata hivo nao hawashikiki wana kibao walikuwa wanawachukua. Kibosho ndo walikuwa geti kali, hao wengine wa kishua kina Marry G na Eugene tulikuwa tunakula nao sahani moja likizo na kipindi cha mwishoni pale kwenye graduation kibao za clubs. Kuna watu walikuwa wanajilipua wanaenda vikao vya wazazi kutembelea mademu zao na kutoa hoja kwenye vikao. Kina Kifaru kule hamna kitu, ukija Machame kule wako mbali kiasi sema tulipewa connection nao sana yani, ingawa Umbwe ndo walikuwa hata Jumapili wanasali nao. Majengo ni chama la wana hawachagui mtu na wanajiachia tu. Kingine, kusema ukweli ni wakali ile mbaya.
Na Ashira girls mkuu,tumezamia sana kule kipindi cha magraduuu yao...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wa Mwanza SekondarI School na jirani zetu Pamba Sec
Enzi za Marehemu Mkono
Naam mwl alikuwa rafiki tu hajanifundisha ila alikuwa akinionyesha wanafunzi wake nashangaa wanamzidi umri na kila jioni lazima apate 1 moto afu hapotezi network Liberty hiyo
 
Mpka sasa sjaona alietaja shule nilizosoma toka vidudu mpka collee
 
Naam mwl alikuwa rafiki tu hajanifundisha ila alikuwa akinionyesha wanafunzi wake nashangaa wanamzidi umri na kila jioni lazima apate 1 moto afu hapotezi network Liberty hiyo
Ilikuwa ukiingia kwenye anga zake utajuta kumfahamu, siku moja nilichelewa kufika shule akanishika sijui alizubaa vipi nikamtoroka, akaanza kunitafuta mara pap macho kwa macho na Mkono, nikaanza kukimbia,acha anikimbize huku na huku sijui nilikanyaga vipi ngazi acha nibiringite kwenye ngazi, akaniacha nikabiringita hadi chini then akanifuata 'mtakuja kufa hivi hivi kwa ujinga wenu, eeh umeumia' viboko vikaishia hapo, kilichofata ni kupakiwa kwenye gari na kupelekwa bugando hosp
 
Back
Top Bottom