Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Katika videos chache za mziki nilizowahi kuona hii nimeona haikuwepo chemistry kati ya huyu dada na Diamond...ni as if alikuwa anamuogopa Diamond
Chemistry haikuwepo kabisa...ilikuwepo maths tu
Labda anajua historia ya msela kwamba ukicheka naye kitavhoumia ni kipochi manyoya...
Mimi niliona na Biology.Katika videos chache za mziki nilizowahi kuona hii nimeona haikuwepo chemistry kati ya huyu dada na Diamond...ni as if alikuwa anamuogopa Diamond
Chemistry haikuwepo kabisa...ilikuwepo maths tu
Kwahiyo unachojaribu kusema anko dereva sayansikimu inaweza kupitiwa na trekta sio!Labda anajua historia ya msela kwamba ukicheka naye kitavhoumia ni kipochi manyoya...
Kwahiyo unachojaribu kusema anko dereva sayansikimu inaweza kupitiwa na trekta sio!
Hahahaha sasa hata kumgusa Diamond tu nayo inaweza kufanya aliwe
Mbona wa hovyo tu hapa...Kweli ile ni Video tuVideo vixen wa mapozi anaitwa
Sikujua Mponda. Ni mbantu aliyelowea ulaya.
Video vixen wa ‘Mapoz’ anaishi huko Finland. Ni dansa na mmiliki wa shule ya uchezaji huko Helsinki.
Ni pisi ya viwango na maisha bora!! View attachment 2900874
Hicho kiwango sijakiona, chuchu saa 12Video vixen wa mapozi anaitwa
Sikujua Mponda. Ni mbantu aliyelowea ulaya.
Video vixen wa ‘Mapoz’ anaishi huko Finland. Ni dansa na mmiliki wa shule ya uchezaji huko Helsinki.
Ni pisi ya viwango na maisha bora!! View attachment 2900874
Na History kwa mbaaaliiiiii...🤣🤣Katika videos chache za mziki nilizowahi kuona hii nimeona haikuwepo chemistry kati ya huyu dada na Diamond...ni as if alikuwa anamuogopa Diamond
Chemistry haikuwepo kabisa...ilikuwepo maths tu
Alikuwa anaogopa kuwekelewa mimba [emoji1787][emoji1787]Katika videos chache za mziki nilizowahi kuona hii nimeona haikuwepo chemistry kati ya huyu dada na Diamond...ni as if alikuwa anamuogopa Diamond
Chemistry haikuwepo kabisa...ilikuwepo maths tu
Ukimgusa Diamond tu,mimba hiyo 😂😂Alikuwa anaogopa kuwekelewa mimba [emoji1787][emoji1787]