Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
- Thread starter
- #21
Haha hahah jamani comment zenu zinaniuaYesu anaenda kuomba ulinzi kwa mafarisayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hahah jamani comment zenu zinaniuaYesu anaenda kuomba ulinzi kwa mafarisayo
Kuna mambo mengi yesu alifanya hayakuandikwa , isingekuwa vizur kuandika yesu alikua nakidemu , si alikuwa rijal kama mwanaume!!Akaona azae na kuzaa, aache shule na kufanya kilimo
Yesu hakuwahi kuoa. Angekuwa na.mke ungesikia leo kuna kanisa la watoto wa Yesu, huku kuna kanisa la mashemeji wa YesuKuna mambo mengi yesu alifanya hayakuandikwa , isingekuwa vizur kuandika yesu alikua nakidemu , si alikuwa rijal kama mwanaume!!
Hauwez jua mkuu inawezana alikataa ndoa ila mademu alikuwa nao nan anajua sasa , kuna yule mama msamaria nayule alie mpka mafuta , nan anajua sasa.Yesu hakuwahi kuoa. Angekuwa na.mke ungesikia leo kuna kanisa la watoto wa Yesu, huku kuna kanisa la mashemeji wa Yesu
Kama umeamua tu kumkashifu, huo ni utashi wako, endeleaHauwez jua mkuu inawezana alikataa ndoa ila mademu alikuwa nao nan anajua sasa , kuna yule mama msamaria nayule alie mpka mafuta , nan anajua sasa.
Apo kashfa ipo wap mkuu yesu alikuwa ni binadamu kma mimi , kinachonipata mimi kama mwanaume rijal kilimpa na yesu piaKama umeamua tu kumkashifu, huo ni utashi wako, endelea
Apo kashfa ipo wap mkuu yesu alikuwa ni binadamu kma mimi , kinachonipata mimi kama mwanaume rijal kilimpa na yesu pia
Inawezekana ikawa kwelNI mara ngapi umefunga kula kwa siku 3 usiku na mchana? Yesu hakula wala kubywa kwa siku arobaini. Yesu alitembea juu ya bahari, je wewe unaweza?
Hahah haha Yesu was incredibleInawezekana ikawa kwel
View attachment 2539514Kiongozi wa kiroho wa Kanisa la New Jerusalem sect lililopo Bungoma nchini Kenya, Eliud Simiyu.
Kenya. Kiongozi wa kiroho wa Kanisa la New Jerusalem sect lililopo Bungoma nchini Kenya, Eliud Simiyu maarufu ‘Yesu wa Tongaren’amelazimika kwenda kutoa taarifa polisi ili kuokoa uhai wake baada ya waumini wake kuapa kumsulubisha msalabani itakaopojiri Ijumaa Kuu siku ambayo Yesu aliteswa msalabani.
Simuyu amefikia hatua hiyo kutokana na waumini wa kanisa lake kutaka kumsulubisha kama mfano wa mateso ya Yesu Kristo jambo ambalo amelipinga na kuripoti polisi ili kuokoa maisha yake.
Mtu huyo ambaye anajita ‘Yesu wa Tongaren’ hajui hatima ya maisha yake kutokana na ahadi walizoweka wakazi wa Bungoma wanaosali katika kanisa lake.
Wananchi hao wanaamini kutokana na kujiita jina hilo, wameeleza kuwa kama Yesu alivyosulubiwa na mafarisayo, kuzikwa na kufufuka siku ya tatu, nao wanaamini atapitia hatua hiyo kisha kupaa mbinguni.
“Yesu wa Bungoma sasa amelalamika kuwa maisha yake yapo hatarini kuuawa kwenye Pasaka hii inayokuja. Hii ni kutokana na kuwasikia wakazi wa Bungoma wakisema anatakiwa kusulubiwa vilevile kama Yesu. Wananchi wa eneo hilo wamekuwa na imani ya kwamba ni Mungu wa kweli na wana imani atafufuka siku ya tatu na kupaa mbinguni kwa hiyo aache wasiwasi wake.
Simiyu ni mwanzilishi na kiongozi wa Kanisa la Yerusalem ambalo makuu yake ni Kijijiji cha Lukhokwe Jimbo la Tongaren.
Awali, alijitangaza kuwa yeye ni Yesu halisi anayetajwa kwenye Biblia na ana uwezo wa kufanya miujiza.
Waumini wanaosali katika kanisa hilo wana utamaduni ya kujiita majina ya manabii au malaika, huku wakizuiwa kujiita majina yao halisi.
Simiyu alizaliwa mwaka 1981 na wazazi wake wanafahamika kwa majina Francis na Cecilian Simiyu hata hivyo walifariki akiwa bado mdogo.
Kiongozi huyo wa kanisa, alizaliwa akiwa katika imani ya Kikatolii na alisoma Shule ya Msingi Mukuyu Tongaren, Kaunti ya Bngoma.
Hata hivyo aliacha shule akliwa kidato cha kwanza kisha kuanza kujishughulisha na kilimo.
Alifanikiwa kuoa akiwa na miaka 20, ambapo mwaka 2001.
Simiyu ni baba wa watoto wanane na mtoto wake mkubwa anasoma chuo cha ufundi Kaunti ya Kiambu na mtoto wake wa pili ameshajiunga na masomo ya chuo kikuu.
Mwaka 2009, Simiyu baada ya mtafaruku wa kifamilia kutokea alipelekwa hospitali kwa mujibu wa majirani zake. Tangu alipotoka hospitali ndipo alianza kuhubiri.
kiburi cha uzima.Ila naona yesu wa ukwel kuna vitu alijitakia pia, ebu chukulia wewe ni hakimu ,umuulize mtuhumiwa wew ni mwana wa Mungu alafu ajibu wewe wasema , hiki nikiburi cha uzima.
HahahahaUchuro tu... Kasulubiwe wewe kama ni raha
Yesu wa Nazareti mwenyewe angepata taarifa za kiintelijensia kwamba angeteswa vile nadhani angedandia merikebu za tarshishi akimbie adhabu