Mjue ‘Yesu wa Tongaren’ anayeogopa kusulubishwa na kukimbilia kujisalimisha Polisi

Kuna mambo mengi yesu alifanya hayakuandikwa , isingekuwa vizur kuandika yesu alikua nakidemu , si alikuwa rijal kama mwanaume!!
Yesu hakuwahi kuoa. Angekuwa na.mke ungesikia leo kuna kanisa la watoto wa Yesu, huku kuna kanisa la mashemeji wa Yesu
 
Yesu hakuwahi kuoa. Angekuwa na.mke ungesikia leo kuna kanisa la watoto wa Yesu, huku kuna kanisa la mashemeji wa Yesu
Hauwez jua mkuu inawezana alikataa ndoa ila mademu alikuwa nao nan anajua sasa , kuna yule mama msamaria nayule alie mpka mafuta , nan anajua sasa.
 
Hauwez jua mkuu inawezana alikataa ndoa ila mademu alikuwa nao nan anajua sasa , kuna yule mama msamaria nayule alie mpka mafuta , nan anajua sasa.
Kama umeamua tu kumkashifu, huo ni utashi wako, endelea
 
NI mara ngapi umefunga kula kwa siku 3 usiku na mchana? Yesu hakula wala kubywa kwa siku arobaini. Yesu alitembea juu ya bahari, je wewe unaweza?
Apo kashfa ipo wap mkuu yesu alikuwa ni binadamu kma mimi , kinachonipata mimi kama mwanaume rijal kilimpa na yesu pia
 

Naona siku za kuelekea Golgotha zinakaribia. Ajipange tu.
 
Tupo kipindi cha kwaresima zimebakia siku chache Yuda atamuuza Yesu majadiliano yakiendelea Kati ya Wakuu wa mafarisayo na wakuu wa Roma.
Kenya pana mtu anajiita yesu anao wafuasi tele je atakubali kusulubiwa Ili afufuke?
Atakuaje Yesu pasipo kusulubiwa?
 

Attachments

  • IMG-20230304-WA0003.jpg
    85.3 KB · Views: 2
Uchuro tu... Kasulubiwe wewe kama ni raha

Yesu wa Nazareti mwenyewe angepata taarifa za kiintelijensia kwamba angeteswa vile nadhani angedandia merikebu za tarshishi akimbie adhabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…