Hizi Bangi hizi!! Haya tutaona mwisho wake
Kweli...Kwani wa Nazareth alikubali?
Nae aanzishiwe varangati!!! amsha amsha!! watu kimbiza huyooo!! mpaka kieleweke, asulubiwe tu.
Bila shaka hata hao wanaomhoji nao watakuwa ni wale wale tu.Wndwazm wanapopewa airtime
Ova
Tanzania inaongoza kwa manabii na mitume.Kenya ndo uongoza KWA kuwa na kina yesu au mungu