Mjumbe aliyelilia iPad Bungeni huyu hapa!

Mjumbe aliyelilia iPad Bungeni huyu hapa!

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Mjumbe wa Bunge la katiba alielilia Ipad Bungeni amefahamika kwa jina la Suleiman Nchambi na hii ndio kauli yake.Ninamnukuu kama ifuatavyo;

"Dunia ya sasa imegubikwa na utandawazi ambao kuanzia shule za msingi wanatumia Laptop,sasa ningependa Ipad, ilikupunguza gharama zinazotumika na Bunge kuchapisha nyaraka mbali mbali".

"Lazima wanafunzi wa shule na vyuo wajifunze kutoka kwetu,sasa wanatushangaa tukiendelea kutumia utaratibu huu wa kugawiana makaratasi yenye nyaraka litakuwa jambo la kusikitisha,nina imani tukipatiwa vifaa hivyo watendaji watakuwa wanatutumia ujumbe wa taarifa tunazopaswa kujadili au kazi tulizopangiwa kufanya," alisema.

Hata hivyo,mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo,mh.Kificho alipinga wazo hilo kwa maelezo kuwa utaratibu huo ni wa gharama zaidi.

CHANZO:Tanzania Daima
 
wengine hawajui kutumia hizo i pad bora muendelee kutumia makaratasi.
 
Muuaji wa Mrs. MBATIA tena..lol

Aaaaaagh wajameni mbona watu hamna adabu? Mada inasema iPad mzee wa Akanana unaleta za mauaji...!?kimsingi kuna mantiki ktk mapendekezo yake..unajua karatasi zinagharama gani..kuna mabuku mengi huwa wanagawiwa hawa jamaa ktk vikao vyao...ili kusevu hela za walipa kodi ni bora wawe wana sevu kwenye ipad au laptop zao na wakati mwingine wasevu kwa kutumia Online data storage kama Cloud n.k. So basically Nchambi is right when it comes into money and time saving...
 
Aaaaaagh wajameni mbona watu hamna adabu? Mada inasema iPad mzee wa Akanana unaleta za mauaji...!?kimsingi kuna mantiki ktk mapendekezo yake..unajua karatasi zinagharama gani..kuna mabuku mengi huwa wanagawiwa hawa jamaa ktk vikao vyao...ili kusevu hela za walipa kodi ni bora wawe wana sevu kwenye ipad au laptop zao na wakati mwingine wasevu kwa kutumia Online data storage kama Cloud n.k. So basically Nchambi is right when it comes into money and time saving...
I think you are not serious. Unaijua bei ya iPad? Unaijua bei ya karatasi moja likichapushwa kwa wingi ni ipi? (Economies of scale). Tunaongelea ipads zaidi ya 600 hapa!
 
Aaaaaagh wajameni mbona watu hamna adabu? Mada inasema iPad mzee wa Akanana unaleta za mauaji...!?kimsingi kuna mantiki ktk mapendekezo yake..unajua karatasi zinagharama gani..kuna mabuku mengi huwa wanagawiwa hawa jamaa ktk vikao vyao...ili kusevu hela za walipa kodi ni bora wawe wana sevu kwenye ipad au laptop zao na wakati mwingine wasevu kwa kutumia Online data storage kama Cloud n.k. So basically Nchambi is right when it comes into money and time saving...
Mh..nina mashaka na ww...!!
 
Aaaaaagh wajameni mbona watu hamna adabu? Mada inasema iPad mzee wa Akanana unaleta za mauaji...!?kimsingi kuna mantiki ktk mapendekezo yake..unajua karatasi zinagharama gani..kuna mabuku mengi huwa wanagawiwa hawa jamaa ktk vikao vyao...ili kusevu hela za walipa kodi ni bora wawe wana sevu kwenye ipad au laptop zao na wakati mwingine wasevu kwa kutumia Online data storage kama Cloud n.k. So basically Nchambi is right when it comes into money and time saving...

kuku wee
 
Back
Top Bottom