Mjumbe aliyelilia iPad Bungeni huyu hapa!

Mjumbe aliyelilia iPad Bungeni huyu hapa!

Wabunge wanataka matatizo ya koo zao yatatuliwe na kodi zetu hopeless ,huyu atakuwa mbunge wa ccm tu......Ipad my foot.....@###&!!!!!sshh****
 
Hata congress haitumii ipad.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Kuna ukweli mkubwa sana, badala ya kugawa makabrasha kwa wajumbe wote, taarifa ingewekwa kwenye "Server" au "flash disk" kila mjumbe akapewa na kuipitia kwenye laptop au Ipad

Ni kweli hoja ya mbunge wa magamba inayo mantiki tatizo ni kwamba wengi hawajui kuzitumia! Hapa jirani Uganda wabunge wote wamepewa Ipad na ---------- habari zote muhimu kupitia mtandao. Na niliona Ofisi ya Bunge la Uganda wakisema kutokana na matumizi ya mtandao wameweza kuokoa pesa nyingi walizokua kuwa wanatumia kuchapisha makaratasi. --------- unaprint mwenyewe!
 

Kweli huyo Mwananchi kachaguliwa na Rais kuongelea KATIBA ya NCHI au Uchaguzi wake kwenye hilo BUNGE ni kuongeza Maslahi yake BINAFSI... Pesa wanazolipwa Gharama ya kuwahudumia na Utakuta HILO ndilo litakuwa HOJA YAKE PEKEE KUONGELEA Mpaka KATIBA MPYA inapatikana...

Inaonyesha RAIS wengine amepeleka MARAFIKI kula hizo PESA za NCHI...

Huyu hakupelekwa na Rais, ni Mbunge na tena ni mtu mwenye uwezo sana kifedha, ni maarufu sana huyu bwana huko Shinyanga, ni miongoni mwa wafanyabiashara wenye kukubalika huko kwa uwezo aliokuwa nao. Na aliingia alipata huu ubunge kwenye uchaguzi wa 2010
 
Hilo jamaa Lina vihela balaa limeamua Tu kuropoka ili mdomo usinuke Hivi kama wanashida na Ipad SI wanunue kwa posho zao.
 
Huyu hakupelekwa na Rais, ni Mbunge na tena ni mtu mwenye uwezo sana kifedha, ni maarufu sana huyu bwana huko Shinyanga, ni miongoni mwa wafanyabiashara wenye kukubalika huko kwa uwezo aliokuwa nao. Na aliingia alipata huu ubunge kwenye uchaguzi wa 2010


Oh NO... Ni MBUNGE na hasikiki Mpaka kwenye HILI BUNGE la KATIBA ?

Hili BUNGE lina Umaridadi kweli... MAGARI YAO YAMESHA FIKA TOKA JAPAN ???

Walioandika KATIBA ya KENYA hatukusikia Malipo yao lakini tulijua hawakuzidi 10


c.c
Sword
 
tatuzo wanajazwa ujinga na wabunge wa bunge la jamuhuri yaani wale wa majimbo wengi ndiyo wafia masilahi bila kujali vyama hapa wengi ni wasaka noti tu
 
Mjumbe wa Bunge la katiba alielilia Ipad Bungeni amefahamika kwa jina la Suleiman Nchambi na hii ndio kauli yake.Ninamnukuu kama ifuatavyo;

"Dunia ya sasa imegubikwa na utandawazi ambao kuanzia shule za msingi wanatumia Laptop,sasa ningependa Ipad, ilikupunguza gharama zinazotumika na Bunge kuchapisha nyaraka mbali mbali".

"Lazima wanafunzi wa shule na vyuo wajifunze kutoka kwetu,sasa wanatushangaa tukiendelea kutumia utaratibu huu wa kugawiana makaratasi yenye nyaraka litakuwa jambo la kusikitisha,nina imani tukipatiwa vifaa hivyo watendaji watakuwa wanatutumia ujumbe wa taarifa tunazopaswa kujadili au kazi tulizopangiwa kufanya," alisema.

Hata hivyo,mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo,mh.Kificho alipinga wazo hilo kwa maelezo kuwa utaratibu huo ni wa gharama zaidi.

CHANZO:Tanzania Daima
Halafu bado wanadai waongezewe posho...akitaka alale bila kula na kutokulala hotel kwa mda wa siku tano ndo ataweza kuipata...nyambafuuuuu..
 
haya ndo matatizo ya kuchagua wajumbe wenye njaa. wanatumia bunge la katiba kumaliza matatizo yao, mwisho utakuja sikia wanataka pampasi kwa ajiri ya kuvisha watoto wao.
 
Hivi ni mbunge?Na kama ndio,ni wa chama gani?

Bahati mbaya kwenye gazeti hawajasema kama ni mbunge au laa.

sina hakika kama umeshajibiwa hili nitakujibu kama ifuatavyo:
SULEIMAN NCHAMBI NI MBUNGE WA KISHAPU KWA KUCHAGULIWA KWA TIKETI YA CCM. AMEKUWA MBUNGE BAADA YA YULE MZEE ALIYEJIUZULU NA KUANZISHA CHAMA CHA CCJ KISHA KIKAFA AKAJIUNGA CHADEMA NA KUGOMBEA KULE GEREZANI KWA MAKONGORO MAHANGA JINA NIMESAHAU (hapa si bure nimerogwa,haiwezekani nisahau jina la huyu mzee-----yaaaah MPENDAZOE yes!!!!) SULEIMAN NCHAMBI ANA ASILI YA KIARABU NA NI MOJAWAPO YA WAMILIKI WA MABASI YA MOMBASA RAHA YANAYOFANYA SAFARI ZAKE MWANZA-SHINYANGA NA KWINGINEKO-(yamebaki mifupa lakini yako barabarani)MABASI HAYO WAMECHANGIA NA DADAKE ALIYEOLEWA KULE MOMBASA(nyepesi nyepesi ni kwamba waligawana baada ya jamaa kuingia kwenye siasa-sina uhakika na hilo) KIUKWELI SINA HAKIKA KAMA ALIMALIZA HATA FORM TWO-(kama kawaida ya watu wetu wa kijani)

hapo upo bwana kamshahara? nasubiri matusi ya team lumumba
 
Back
Top Bottom