Mjumbe hauawi. Mwanamke huwa msafi kabla ya kuolewa, akiolewa mambo hubadilika

Mjumbe hauawi. Mwanamke huwa msafi kabla ya kuolewa, akiolewa mambo hubadilika

Don't generalise, kuna wanawake wanajua kubalance, pamoja na kuwepo watoto lakini usafi wao na mazingira yao ni wa kiwango cha juu sana. Uchafu ni asili tu na hulka ya mtu, inawezekana hukumchunguza ila hata alivyokuwa mwenyewe bado alikuwa mchafu.
Sure some women have it all together, sio hawa hopeless
 
Hapana, chukua point yake kwamba mazingira inabidi umuwekee yawe bora ili awe mzuri na safi kama ulivyomkuta. Unakuta mtoto wa watu umemtoa anakaa kwenye nyumba nzuri ina maji ina kila kitu, unaenda kumuweka mpiji, maji ya kuchota kwa kichwa na huweki mazingira safi ya kufanya apate maji ya uhakika nyumbani na hapo bado una expect chumba chenu kimoja cha kupanga kidekiwe kila siku, ni sawa kweli wewe unaona..??
Wanaume tunawafubaza sana hawa watoto
Na wewe unawafubaza?
 
MJUMBE HAUWAWI.

Nimepitia comment kwenye hii post.

Wanaume wanamalalamiko mengi sana yenye tiija juu ya hoja hii.

Swali likanijia, je anaweza kufika Moshi na asifike kileleni?

Nikaendelea kusoma Comment, nanukuu mbili.

"Mwanamke ukianza naye anakuwa msafi na wa maana sana, muoe sasa utajutraaa. Anaanza kunuka yeye hadi kibuyu cha asali kinatoa shombo la utumbo" mimi haaa!

"Kumuoa tu, azae katoto kamoja, utajuta na kutamani umrudishie mtoto tumboni. Unaweza jikuta unakula ugali una zile chembe za pampasi. Jaribu kusogeza kochi kukiwa na mgeni, utajuta. Hapo muwe mnaishi chumba kimoja, utajikuta kila siku vibanda umiza kuangalia marudio ya mechi hata kama hupendi mpira"

Nikasemaje, shida ni kuwa, mabinti wengi wanasubiri waolewe ndo wawe wasafi, na wakiolewa kutwa nzima hawaogi, wanasubiri jioni mubaba anakaribia wanaingia bafuni na kujimwajia maji kama ndoo...
Wanasahau, hata Yanga kuchukua ubingwa mfululu mazoezi yalichangia sana.

Kwenye vitabu vyangu vya maarifa kwa mwanamke nimesisitiza sana uwajibikaji, kwako binafsi na kwa jamii yako.

Kama ni binti uko kwenu, na umezoea kukoga hadi utishiwe kunyimwa ubwabwa, tuna kikao.

Kama ni binti uko kwenu au umeanza maisha ila kufanya usafi mazingira yako ni ugonvi na taifa, Ukae kiti cha tatu kutoka mbele.

Kama ni binti, hutaki kujifunza namna ya kukoga na kuutunza mfumuko wako wa harufu hatarishi kaa nyuma kule.. ehee hapo hapo.

Unaamini kwenye ulozi, unaamini kibuyu chako bila kutiwa makorokoro hakitoi asali tamu.... pole, naomba ukae hapa mbele nikuombee.

Nimekwazika na hili wimbi la mabinti kujivunia madhara baada ya kuweka vitu huko ili wawe watamu. Wanaishia kuoza na wengine kunuka kusikokoma. Mbaya zaidi, hawasemi ukweli wanaficha maradhi, saratani inakuja kuwaumbua, badilikeni.

Mungu alivyokuumba alikupimia ladha kuliko mboga ya mpishi stadi. Alikutia chunvi na kila kiungo ulichohitaji kuwa mwanamke mtamu. Acha kujiloga, acha kujiumiza. Unahitaji tu kuwa msafi na salama, sio kwa ajili ya yoyote, ni kwa ajili yako wewe. Jipende basi!
Mwanaume aliyekuridhia, haitaji uweke shabu huko.
Hahitaji uweke madawa ya mvuto huko.
Hahitaji sijui vipipi, sijui vipapi. Unaweza kuongeza joto na mvuto na ladha yako kwa kuboresha mfumo wako wa maisha na maakuli.

Wewe ni wa muhimu sana.
Wewe ni wa thamani sana.
Usalama wako ni jukumu lako wewe.
Afya yako ni faida yako wewe.
Jilinde sana.
Jitunze pia.

Haya malalamiko kuhusu mabinti kuwa wachafu/ pengine si uchafu, ni madhara ya hekaheka za kuusaka utamu wa ziada.

Kama mwanamke unatakiwa kutambua tu,
"UNATOSHA HIVYO ULIVYO"
Jiboreshe tu kwa kujiongezea maarifa.
Soma vitabu vyangu vya maarifa kwa mwanamke. Na kwenye ishu ya usafi na utunzaji wa hazina yako. Soma kitabu cha KUNGWI.

Kuna mengi ya kuhangaikia ya kukupa faida na sio haya yatakayohitaji kula mtaji kuyakabili yakikubadilikia.

HAKIKISHA UNAKUWA SALÀMA.

NOTE:
Yapo magonjwa mengi yanayopelekea hitilafu huko kibuyuni, mengine ya kuambukizwa, mengine hutokana na mfumo mbaya tu wa ulaji. Mengine ni uchafu wa mazingira(vyoo) Mengine ni uchafu wa mwili, mengine ni madhara ya viambata sumu (cream/pombe/sigara) na mengine ndo hayo ya kutia mazaga huko.
Sambamba na hilo, kuna changamoto ya saratani ya mlango wa kizazi... uonapo dalili zisizo sawa, nenda hospitali, onana na dakitari, kuwa muwazi, kuumwa sio kitu cha kuonea aibu. Pata vipimo, Fuatisha matibabu kwa usahihi na mwisho jitunze..

Na kwa wenza wetu.

Uonapo utofauti kwa mkeo, kuwa chachu ya yeye kupata msaada. Wanawake huona noma sana kuwaambia wapenzi wao kuwa wanaumwa ikulu. Msaidie, wewe ni kiongozi wake na sio hakimu wa madhaifu yake. Na kama unampenda, na amekuwa mchafu, au akikupeleka mlimani anakuacha katikati mnunulie vitabu vyangu kuna namna utamsaidia bila kugombana naye.

Wanawake wanapitia vipindi vingi vya kukosa hamu ya kupanda mlima. Sababu zaweza kuwa nyingi na nyingine hata wao hawazijui. Mmotivate mkeo bro.

Kungwi wa kisasaView attachment 3007266
Hasa akiwa mama wa nyumbani
 
Naweza ila mwisho wa siku nitakuwa nimechoka kama mbwa, jambo ambalo siliwezi na silitaki!

Life inatakiwa iwe “Minimum effort, Maximum Enjoyment”
My dear kujikuta superwoman ukufe mapema ya nini? Get all the help you can. Happy wife happy life 😊 haupungukiwi chochote tena unalea mtoto na mume bila mastress
 
Let me tell you Maina...

Uanamke kazi sana. Hata mazingira yakibadilika wewe unatakiwa ubaki vile vile. Shughuli tupu!!

Mimi ndio maana tulipopata tu mtoto nikamwambia babe, nataka wasaidizi wawili wa kazi. mmoja wa kusaidiana malezi ya huyu baby boy, wa pili wa kusaidiana kutunza nyumba na kupika. Nashukuru alinielewa, sasa nina muda wa kujijali mwenyewe, na kumjali na kumfurahisha yeye.
Kama umefanyiwa hayo na unampa mume kile anataka basi bora yako walau umejua upate nini ili mambo yaende.
Wengine uchafu ni nature yao, kukaa bila kukoga kutwa nzima kwao ni kawaida kabisa na unakuta wala hana shughuli yoyote basi mvivu kuoga na kujifanyia shuuli za usafi.
 
Wanawake wengi wanahitaji mafundo ya kujamiina hasa katika kipengele cha usafi kwanza mwanamke akienda hata haja ndogo au kubwa hana budi kusafisha kwa maji huko chini kwa sababu za kibailojia na kuepuka kutumia madawa yasiyoeleweka.
 
Don't generalise, kuna wanawake wanajua kubalance, pamoja na kuwepo watoto lakini usafi wao na mazingira yao ni wa kiwango cha juu sana. Uchafu ni asili tu na hulka ya mtu, inawezekana hukumchunguza ila hata alivyokuwa mwenyewe bado alikuwa mchafu.
Nimependa ulivomjibu hapa.Wakati mwingine uchafu na usafi ni asili Tu.Binafsi kabla na baada ya kupata watoto usafi wangu ni ule ule.Miaka yangu yote ya ndoa hatujawahi kugombana na Mme wangu kisa usafi.
 
Let me tell you Maina...

Uanamke kazi sana. Hata mazingira yakibadilika wewe unatakiwa ubaki vile vile. Shughuli tupu!!

Mimi ndio maana tulipopata tu mtoto nikamwambia babe, nataka wasaidizi wawili wa kazi. mmoja wa kusaidiana malezi ya huyu baby boy, wa pili wa kusaidiana kutunza nyumba na kupika. Nashukuru alinielewa, sasa nina muda wa kujijali mwenyewe, na kumjali na kumfurahisha yeye.
Umeolewa na fala, yaani mtoto mmoja unataka wasaidizi wawili ningekua mimi mumeo nakutandika makofi.
 
K
MJUMBE HAUWAWI.

Nimepitia comment kwenye hii post.

Wanaume wanamalalamiko mengi sana yenye tiija juu ya hoja hii.

Swali likanijia, je anaweza kufika Moshi na asifike kileleni?

Nikaendelea kusoma Comment, nanukuu mbili.

"Mwanamke ukianza naye anakuwa msafi na wa maana sana, muoe sasa utajutraaa. Anaanza kunuka yeye hadi kibuyu cha asali kinatoa shombo la utumbo" mimi haaa!

"Kumuoa tu, azae katoto kamoja, utajuta na kutamani umrudishie mtoto tumboni. Unaweza jikuta unakula ugali una zile chembe za pampasi. Jaribu kusogeza kochi kukiwa na mgeni, utajuta. Hapo muwe mnaishi chumba kimoja, utajikuta kila siku vibanda umiza kuangalia marudio ya mechi hata kama hupendi mpira"

Nikasemaje, shida ni kuwa, mabinti wengi wanasubiri waolewe ndo wawe wasafi, na wakiolewa kutwa nzima hawaogi, wanasubiri jioni mubaba anakaribia wanaingia bafuni na kujimwajia maji kama ndoo...
Wanasahau, hata Yanga kuchukua ubingwa mfululu mazoezi yalichangia sana.

Kwenye vitabu vyangu vya maarifa kwa mwanamke nimesisitiza sana uwajibikaji, kwako binafsi na kwa jamii yako.

Kama ni binti uko kwenu, na umezoea kukoga hadi utishiwe kunyimwa ubwabwa, tuna kikao.

Kama ni binti uko kwenu au umeanza maisha ila kufanya usafi mazingira yako ni ugonvi na taifa, Ukae kiti cha tatu kutoka mbele.

Kama ni binti, hutaki kujifunza namna ya kukoga na kuutunza mfumuko wako wa harufu hatarishi kaa nyuma kule.. ehee hapo hapo.

Unaamini kwenye ulozi, unaamini kibuyu chako bila kutiwa makorokoro hakitoi asali tamu.... pole, naomba ukae hapa mbele nikuombee.

Nimekwazika na hili wimbi la mabinti kujivunia madhara baada ya kuweka vitu huko ili wawe watamu. Wanaishia kuoza na wengine kunuka kusikokoma. Mbaya zaidi, hawasemi ukweli wanaficha maradhi, saratani inakuja kuwaumbua, badilikeni.

Mungu alivyokuumba alikupimia ladha kuliko mboga ya mpishi stadi. Alikutia chunvi na kila kiungo ulichohitaji kuwa mwanamke mtamu. Acha kujiloga, acha kujiumiza. Unahitaji tu kuwa msafi na salama, sio kwa ajili ya yoyote, ni kwa ajili yako wewe. Jipende basi!
Mwanaume aliyekuridhia, haitaji uweke shabu huko.
Hahitaji uweke madawa ya mvuto huko.
Hahitaji sijui vipipi, sijui vipapi. Unaweza kuongeza joto na mvuto na ladha yako kwa kuboresha mfumo wako wa maisha na maakuli.

Wewe ni wa muhimu sana.
Wewe ni wa thamani sana.
Usalama wako ni jukumu lako wewe.
Afya yako ni faida yako wewe.
Jilinde sana.
Jitunze pia.

Haya malalamiko kuhusu mabinti kuwa wachafu/ pengine si uchafu, ni madhara ya hekaheka za kuusaka utamu wa ziada.

Kama mwanamke unatakiwa kutambua tu,
"UNATOSHA HIVYO ULIVYO"
Jiboreshe tu kwa kujiongezea maarifa.
Soma vitabu vyangu vya maarifa kwa mwanamke. Na kwenye ishu ya usafi na utunzaji wa hazina yako. Soma kitabu cha KUNGWI.

Kuna mengi ya kuhangaikia ya kukupa faida na sio haya yatakayohitaji kula mtaji kuyakabili yakikubadilikia.

HAKIKISHA UNAKUWA SALÀMA.

NOTE:
Yapo magonjwa mengi yanayopelekea hitilafu huko kibuyuni, mengine ya kuambukizwa, mengine hutokana na mfumo mbaya tu wa ulaji. Mengine ni uchafu wa mazingira(vyoo) Mengine ni uchafu wa mwili, mengine ni madhara ya viambata sumu (cream/pombe/sigara) na mengine ndo hayo ya kutia mazaga huko.
Sambamba na hilo, kuna changamoto ya saratani ya mlango wa kizazi... uonapo dalili zisizo sawa, nenda hospitali, onana na dakitari, kuwa muwazi, kuumwa sio kitu cha kuonea aibu. Pata vipimo, Fuatisha matibabu kwa usahihi na mwisho jitunze..

Na kwa wenza wetu.

Uonapo utofauti kwa mkeo, kuwa chachu ya yeye kupata msaada. Wanawake huona noma sana kuwaambia wapenzi wao kuwa wanaumwa ikulu. Msaidie, wewe ni kiongozi wake na sio hakimu wa madhaifu yake. Na kama unampenda, na amekuwa mchafu, au akikupeleka mlimani anakuacha katikati mnunulie vitabu vyangu kuna namna utamsaidia bila kugombana naye.

Wanawake wanapitia vipindi vingi vya kukosa hamu ya kupanda mlima. Sababu zaweza kuwa nyingi na nyingine hata wao hawazijui. Mmotivate mkeo bro.

Kungwi wa kisasaView attachment 3007266
Kuna ukweli 95% kwenye huu uzi wako. Hasa kwenye kugegedwa na kujifuta na kitambaa au leso au kuosha papuchi na kuondoka halafu hawaogi
 
Don't generalise, kuna wanawake wanajua kubalance, pamoja na kuwepo watoto lakini usafi wao na mazingira yao ni wa kiwango cha juu sana. Uchafu ni asili tu na hulka ya mtu, inawezekana hukumchunguza ila hata alivyokuwa mwenyewe bado alikuwa mchafu.
Mimi nina watatu na ukiniona kama nina 17 yes.... nimechagua tu kuwa mwanamke wa kiafrika.
 
Back
Top Bottom