Pre GE2025 Mjumbe Kamati Kuu CHADEMA, Mayemba: Viongozi wa Dini kemeeni dhambi zote ikiwemo Ufisadi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Rose Mayemba ametoa wito kwa viongozi wa dini nchini kutokuwa waoga na kukemea dhambi zote ikiwemo ufisadi bila kujali imefanywa nani.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Rose ametoa wito huo Februari 16, aliposhiriki ibada ya misa maalum ya kumuombea Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu iliyofanyika kijijini kwao Mahambe, Ikungi huku na kueleza kuwa viongozi wa dini wakiendelea kukaa kimya dhambi zinapotendeka taifa litaingia matatizoni.

Your browser is not able to display this video.
 
Dada ana uwezo wa kusema maneno yaliyonyooka! Kila la kheri kwake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…