Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Rose Mayemba ametoa wito kwa viongozi wa dini nchini kutokuwa waoga na kukemea dhambi zote ikiwemo ufisadi bila kujali imefanywa nani.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Rose ametoa wito huo Februari 16, aliposhiriki ibada ya misa maalum ya kumuombea Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu iliyofanyika kijijini kwao Mahambe, Ikungi huku na kueleza kuwa viongozi wa dini wakiendelea kukaa kimya dhambi zinapotendeka taifa litaingia matatizoni.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Rose ametoa wito huo Februari 16, aliposhiriki ibada ya misa maalum ya kumuombea Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu iliyofanyika kijijini kwao Mahambe, Ikungi huku na kueleza kuwa viongozi wa dini wakiendelea kukaa kimya dhambi zinapotendeka taifa litaingia matatizoni.