Mjumbe wa Basata MwanaFa Amruka ROSA Ree...Adai Hawezi Mtetea Nafsi Inamsuta

Mjumbe wa Basata MwanaFa Amruka ROSA Ree...Adai Hawezi Mtetea Nafsi Inamsuta

Udakuz

Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
85
Reaction score
51
jamiiiz.jpg


MwanaFa Asema Rosa Ree Amestahili Adhabu BASATA, Hivyo Hawezi kujitokeza kumtetea

"Rosa Ree ni mdogo wangu lakini nafsi yangu itanisuta kama ntaenda kumtetea kutokana na video yake, nafkiri hata yeye hadhani kama ameonewa, me nafkiri tumuache atumikie adhabu yake" -: @MwanaFA

MwanaFA ni Mjumbe wa Bodi ya Basata kwa upande wa kuwakilisha wasaniii

Je Yupo sawa au alipashwa kuwa bega kwa bega kumsaidia kumtetea na kumuelisha ili isijirudie tena?

#RoundTable
 
Back
Top Bottom