MwanaFa Asema Rosa Ree Amestahili Adhabu BASATA, Hivyo Hawezi kujitokeza kumtetea
"Rosa Ree ni mdogo wangu lakini nafsi yangu itanisuta kama ntaenda kumtetea kutokana na video yake, nafkiri hata yeye hadhani kama ameonewa, me nafkiri tumuache atumikie adhabu yake" -: @MwanaFA
MwanaFA ni Mjumbe wa Bodi ya Basata kwa upande wa kuwakilisha wasaniii
Je Yupo sawa au alipashwa kuwa bega kwa bega kumsaidia kumtetea na kumuelisha ili isijirudie tena?
#RoundTable