TANZIA Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA, Renatus Mkinga afariki Dunia

Huyu dingi ilikuwa akipewa nafasi ya kuongea kwenye chombo cha habari au mdahalo, ni lazima ataropoka kuhusu issue ya Deep green, Meremeta au Richmond. Hata kama mada itakuwa ni mechi ya Simba na Yanga, mzee mkinga ataropoka hizo issue.
🤣🤣
 
👍👍
 
Kuna siku kwenye kipima joto aliongea huku akituhumu watu left right and center, wakaenda break fupi walivyorudi alikuwa ameondolewa kwenye panel 😁 😁 😁 😁
Hahahahahahaa...mm toka jana nakumbuka matukio yake nacheka balaa yaan huyu sijui alisomaje chuo kikuu..yaan ni kivuruge na ukichek age unabisha
 
Huyu dingi ilikuwa akipewa nafasi ya kuongea kwenye chombo cha habari au mdahalo, ni lazima ataropoka kuhusu issue ya Deep green, Meremeta au Richmond. Hata kama mada itakuwa ni mechi ya Simba na Yanga, mzee mkinga ataropoka hizo issue.
Hahahahahaahaha alikua ana uchungu ..siku moja alisema ningekuwa hata mkuu wa kituo kidogo cha Polis muda huu Mkapa angekua mahabusu zile za maskin sio za watu high class hahahahaa wakaitikisa picha..ila alishasikika🤣🤣
 

Mkuu hapa amedhihakiwa wapi? Huon watu wanamuelezea vituko vyake? Watu tumemkumbuka kwa mbwembwe zake nuthn else! Hebu tuwe saa zingine postive jamani! Hata kidg! Kha
 
Alimkashfu sana aliyekua mgombea urais wa chama fulani cha siasa mwaka 2015.
Kejeli afya za watu sana. Maisha ni fumbo zito sana.
Daktari mhudumu anaondoka na kumwacha mgonjwa mahututi
 
Enzi hizo mdahalo akikosekana mzee mkinga nazima tv naenda zangu kunywa mbege
Alikuwa akialikwa Kipima joto au Malumbano ya hoja utapenda. Mzee anaongea kwa uchungu sana halafu anatamani amalize yote ya kifuani.

Baadae alilalamika kuwa ITV walimpiga marufuku kushiriki vipindi vyao.
 
Huyu dingi alikuwa na chuki binafsi dhidi ya Lowassa. Hakuwahi kumsema Lowassa kwa jema lolote.
 
Kifo kisikieni tu, mkewe hapo Mungu amtie nguvu, wale wanadokolea mali za marehemu na haki za mjane washindwe kwa jina la Mungu.
 
Hivi mnafaidika nini kusema msiyoyajua vizuri na hasa kwa mtu asiyeweza kujitetea? Siasa tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…