Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
🤣🤣Huyu dingi ilikuwa akipewa nafasi ya kuongea kwenye chombo cha habari au mdahalo, ni lazima ataropoka kuhusu issue ya Deep green, Meremeta au Richmond. Hata kama mada itakuwa ni mechi ya Simba na Yanga, mzee mkinga ataropoka hizo issue.
👍👍Wandugu tujitahidi kuzizuia jazba zetu......kukosana au kutokuelewana na mtu ni sehemu ya maumbile ya wanadamu.......tujitahidi kuzishika nafsi zetu.....pamoja na madhaifu na mapungufu lakini marehemu anabakia kuwa binadamu tu na mwanadamu mapungufu ni sehemu ya maumbile yake.....kumsengenya, kumtukana au kumdhihaki mtu aliyekufa inaonyesha ni jinsi gani tulivyo wafupi wa fikra na kusahau kuwa kifo ni njia ya kila mmoja wetu na kila mmoja ataondoka kwa wakati wake.......tuombeaneni mwisho mwema.....na mengine tumuachie Mungu maana yeye ndiye anamjua kiumbe wake....
Hahahahahahaa...mm toka jana nakumbuka matukio yake nacheka balaa yaan huyu sijui alisomaje chuo kikuu..yaan ni kivuruge na ukichek age unabishaKuna siku kwenye kipima joto aliongea huku akituhumu watu left right and center, wakaenda break fupi walivyorudi alikuwa ameondolewa kwenye panel 😁 😁 😁 😁
Hahahahahaahaha alikua ana uchungu ..siku moja alisema ningekuwa hata mkuu wa kituo kidogo cha Polis muda huu Mkapa angekua mahabusu zile za maskin sio za watu high class hahahahaa wakaitikisa picha..ila alishasikika🤣🤣Huyu dingi ilikuwa akipewa nafasi ya kuongea kwenye chombo cha habari au mdahalo, ni lazima ataropoka kuhusu issue ya Deep green, Meremeta au Richmond. Hata kama mada itakuwa ni mechi ya Simba na Yanga, mzee mkinga ataropoka hizo issue.
Kwani anajadiliwa kwa mabaya yake jamani...ss tunamkumbukia vimbwang vyake nyie hammjui bora mkae kimya!😏Bwana we! Hiyo ndiyo chadema ya JF
Wandugu tujitahidi kuzizuia jazba zetu......kukosana au kutokuelewana na mtu ni sehemu ya maumbile ya wanadamu.......tujitahidi kuzishika nafsi zetu.....pamoja na madhaifu na mapungufu lakini marehemu anabakia kuwa binadamu tu na mwanadamu mapungufu ni sehemu ya maumbile yake.....kumsengenya, kumtukana au kumdhihaki mtu aliyekufa inaonyesha ni jinsi gani tulivyo wafupi wa fikra na kusahau kuwa kifo ni njia ya kila mmoja wetu na kila mmoja ataondoka kwa wakati wake.......tuombeaneni mwisho mwema.....na mengine tumuachie Mungu maana yeye ndiye anamjua kiumbe wake....
Kwa hiyo aliongea sana mpaka na roho ikatoka baada ya misuli kumalizika?Huyy mzee alikua ni shidaa ..dah..alikua akiongea misuli inamtoka balaa dah rip
Ngoja ninyakaze maana wengine mnajulikanaKwani anajadiliwa kwa mabaya yake jamani...ss tunamkumbukia vimbwang vyake nyie hammjui bora mkae kimya!😏
Sawa mkuu....inawezekana fikra zangu zimetafsiri ndivyo sivyo maoni ya wadau wengine.......Mkuu hapa amedhihakiwa wapi? Huon watu wanamuelezea vituko vyake? Watu tumemkumbuka kwa mbwembwe zake nuthn else! Hebu tuwe saa zingine postive jamani! Hata kidg! Kha
Alikuwa akialikwa Kipima joto au Malumbano ya hoja utapenda. Mzee anaongea kwa uchungu sana halafu anatamani amalize yote ya kifuani.Enzi hizo mdahalo akikosekana mzee mkinga nazima tv naenda zangu kunywa mbege
Kifo kisikieni tu, mkewe hapo Mungu amtie nguvu, wale wanadokolea mali za marehemu na haki za mjane washindwe kwa jina la Mungu.Mwanaharakati Renatus Mkinga afariki, alikuwa mjumbe wa bodi ya Tasac iliyovunjwa na mama Samia mwezi uliopita.
Source: TPA
=========
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA Bw Renatus Mkinga amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili usiku wa kuamkia tarehe 25 Mei, 2021. Atakumbukwa kwa Mchango wake katika maendeleo ya Sekta ya Bandari. Apumzike kwa Amani.
Hivi mnafaidika nini kusema msiyoyajua vizuri na hasa kwa mtu asiyeweza kujitetea? Siasa tu?Njaa kitu kibaya sana!!huyu jamaa enzi za jk alikuwa mwanaharakati kweli kweli, kama kina LISU, hususani kwenye mambo ya bandari, ila baada ya jpm kuingia madarakani akawa muimbaji mzuri sana wa tenzi za kusifu na kuabudu, serikali ya awamu ya tano, akalambishwa shavu!!akaanza kujiita mzalendo namba 2, badala ya jpm!!hiyo ripoti ya CAG, ya juzi ikaja kuibua madudu ya kutisha hadi akaivunja bodi ya TASAC!!na yeye akiwa kama mjumbe!!na ulikuwa ukiongea naye lazima ujikinge na mwanvuli kwani sio kwa mvua ile ya mate!