TANZIA Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA, Renatus Mkinga afariki Dunia

TANZIA Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA, Renatus Mkinga afariki Dunia

Wandugu tujitahidi kuzizuia jazba zetu......kukosana au kutokuelewana na mtu ni sehemu ya maumbile ya wanadamu.......tujitahidi kuzishika nafsi zetu.....pamoja na madhaifu na mapungufu lakini marehemu anabakia kuwa binadamu tu na mwanadamu mapungufu ni sehemu ya maumbile yake.....kumsengenya, kumtukana au kumdhihaki mtu aliyekufa inaonyesha ni jinsi gani tulivyo wafupi wa fikra na kusahau kuwa kifo ni njia ya kila mmoja wetu na kila mmoja ataondoka kwa wakati wake.......tuombeaneni mwisho mwema.....na mengine tumuachie Mungu maana yeye ndiye anamjua kiumbe wake....
 
Hivi peponi ni kulala tu?
Sijui
Mara alale pema peponi,wewe tena Alale pazuri peponi,huko peponi hakuna mishe nyingine? Ni kulala tu? Hakuna hata kuimba na kuabudu?
Tunajua kulala tu kwa sababu tumemwona kwa macho yetu kuwa amelala kweli, hatujui baada ya hapo.
Unataka uamini vipi? Kunywa sumu ufe kama vipi ili ukaamini huko.
 
Alikuwa ' anapayuka ' sana na kupiga ' Mikelele ' mno katika Media ( Television ) japo kwa 85% Kichwani mwake alionyesha ni Mtu Mwerevu ( Intelligent ) na mwenye Mitazamo ya mbali ( Visionary )

RIP Kwake na poleni wana Familia wake.
Njaa tu.magufuli alimstukia akampa kitengo akawa mpole
Wandugu tujitahidi kuzizuia jazba zetu......kukosana au kutokuelewana na mtu ni sehemu ya maumbile ya wanadamu.......tujitahidi kuzishika nafsi zetu.....pamoja na madhaifu na mapungufu lakini marehemu anabakia kuwa binadamu tu na mwanadamu mapungufu ni sehemu ya maumbile yake.....kumsengenya, kumtukana au kumdhihaki mtu aliyekufa inaonyesha ni jinsi gani tulivyo wafupi wa fikra na kusahau kuwa kifo ni njia ya kila mmoja wetu na kila mmoja ataondoka kwa wakati wake.......tuombeaneni mwisho mwema.....na mengine tumuachie Mungu maana yeye ndiye anamjua kiumbe wake....
Wandugu tujitahidi kuzizuia jazba zetu......kukosana au kutokuelewana na mtu ni sehemu ya maumbile ya wanadamu.......tujitahidi kuzishika nafsi zetu.....pamoja na madhaifu na mapungufu lakini marehemu anabakia kuwa binadamu tu na mwanadamu mapungufu ni sehemu ya maumbile yake.....kumsengenya, kumtukana au kumdhihaki mtu aliyekufa inaonyesha ni jinsi gani tulivyo wafupi wa fikra na kusahau kuwa kifo ni njia ya kila mmoja wetu na kila mmoja ataondoka kwa wakati wake.......tuombeaneni mwisho mwema.....na mengine tumuachie Mungu maana yeye ndiye anamjua kiumbe wake....
Hata we ukifa tutakusema tu so tenda mema bro
 
Back
Top Bottom