Hilo sijui ila nachojua alikuwa na kisukari muda mrefu...
Kwa lugha sahihi kwenye zama za leo za upigaji nyungu magonjwa kama hayo yanaitwa uwepo wa magonjwa mengine au kibeberu beberu - underlying conditions.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo sijui ila nachojua alikuwa na kisukari muda mrefu...
Niliwahi kula nae ulabu ubungo anaongea kama mashine ya kusaga rip
kuna kipindi alipigaga milioni 100 za bahati nasibu ya vodacom sijui ilikua magumashi wanatuchotaAlafu misuli ya shingo inamsimama had utacheka
Nakusalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania...Kwa lugha sahihi kwenye zama za leo za upigaji nyungu magonjwa kama hayo yanaitwa uwepo wa magonjwa mengine au kibeberu beberu - underlying conditions.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Hahahhaaaa mjanja anaonekana huyo hahahakuna kipindi alipigaga milioni 100 za bahati nasibu ya vodacom sijui ilikua magumashi wanatuchota
Nami nakujibu: "kama upigaji nyungu ni kazi, basi na iendelee!"Nakusalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania...
mjanja mjanja sana kama shibuda wanashinda samora pale wanajifanya kila kitu cha mjini wanakijuaHahahhaaaa mjanja anaonekana huyo hahaha
Njaa kitu kibaya sana!!huyu jamaa enzi za jk alikuwa mwanaharakati kweli kweli, kama kina LISU, hususani kwenye mambo ya bandari, ila baada ya jpm kuingia madarakani akawa muimbaji mzuri sana wa tenzi za kusifu na kuabudu, serikali ya awamu ya tano, akalambishwa shavu!!akaanza kujiita mzalendo namba 2, badala ya jpm!!hiyo ripoti ya CAG, ya juzi ikaja kuibua madudu ya kutisha hadi akaivunja bodi ya TASAC!!na yeye akiwa kama mjumbe!!na ulikuwa ukiongea naye lazima ujikinge na mwanvuli kwani sio kwa mvua ile ya mate!Kumbe alipewa kitengo,ndomana alitulia
Any way apumzike kunako mstahili
Ova
Umesahau swali lako mwenyewe?Mbona hapo taarifa inasema alikuwa mjumbe wa bodi Tpa,
Huyu mzee niliwahi msikiliza sikumoja akielezea mambo ya Bandari alikuwa deep sana.Mwanaharakati Renatus Mkinga afariki, alikuwa mjumbe wa bodi ya Tasac iliyovunjwa na mama Samia mwezi uliopita.
Source: TPA
=========
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA Bw Renatus Mkinga amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili usiku wa kuamkia tarehe 25 Mei, 2021. Atakumbukwa kwa Mchango wake katika maendeleo ya Sekta ya Bandari. Apumzike kwa Amani.
Alikuwaga mchangiaji sana wa mada katika mahojiano ya ITV enzi hizo miaka ya 2007 kama sijakoseaMishen town
Pia aliwahi kushinda milioni 100 kama sijakosea katika lottery games hiziHuyy mzee alikua ni shidaa ..dah..alikua akiongea misuli inamtoka balaa dah rip
Hiyo warning ndio ikamshtua ?.Si ndio huyu alipewa warning na mama samia? Au sio