mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Alikuwa mwanaharakati tuKabla ya kuwa mjumbe wa Tasac, alikuwa taasisi gani anafanyia kazi.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mwanaharakati tuKabla ya kuwa mjumbe wa Tasac, alikuwa taasisi gani anafanyia kazi.
John yupo VIP hawezi kumuona, anawapangia kazi malaika wadogo,Kamsalimie John
Basi shinikizo la damu hilo. Innaa LillaahahNiliwahi kula nae ulabu ubungo anaongea kama mashine ya kusaga rip
Hilo sijui ila nachojua alikuwa na kisukari muda mrefu...Basi shinikizo la damu hilo. Innaa Lillaahah
Hata mie nashangaa marehem anazodolewa hividuh waja mna mambo. Mnamsimanga Marehemu
Obituary yako noma dahNiliwahi kula nae ulabu ubungo anaongea kama mashine ya kusaga rip
Yaani bangi imekunyevua na kukuacha kama kuku aliyelowaMiongoni mwa watanzania wenye IQ mdogo sana aliyelazimisha kuonekana genius.
Alikuwa ' anapayuka ' sana na kupiga ' Mikelele ' mno katika Media ( Television ) japo kwa 85% Kichwani mwake alionyesha ni Mtu Mwerevu ( Intelligent ) na mwenye Mitazamo ya mbali ( Visionary )Mwanaharakati Renatus Mkinga afariki, alikuwa mjumbe wa bodi ya Tasac iliyovunjwa na mama Samia mwezi uliopita.
Source: TPA
=========
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA Bw Renatus Mkinga amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili usiku wa kuamkia tarehe 25 Mei, 2021. Atakumbukwa kwa Mchango wake katika maendeleo ya Sekta ya Bandari. Apumzike kwa Amani.
Kuna siku nadhan wa kampeni alialikwa kuongea..huyu mzee km humjui unaweza sema nchi iko kwa machafuko🤣🤣! Ana jazba balaa..hahhaaha yaaan ni shidaaa🤣🤣! Huyy hafai kutuwakilisha international....hahhaa anatoa mimacho kama mzee wa twashwishwi🤣🤣! Mate sasa weee! Nilimpendaga bureHuyu Hayati alikuwa na akili timamu ila akajakuhongwa na Marehemu JPM. Akiwa mezani bar alikuwa ba tabia ya kunywa safari mbili moja moto na bariki. Ni moja ya waongea hovyo sana.
Hahahahhahaa kumbe unammanya vyema..dah...rip kamanda letuAlikuwa ' anapayuka ' sana na kupiga ' Mikelele ' mno katika Media ( Television ) japo kwa 85% Kichwani mwake alionyesha ni Mtu Mwerevu ( Intelligent ) na mwenye Mitazamo ya mbali ( Visionary )
RIP Kwake na poleni wana Familia wake.
Njaa tu.magufuli alimstukia akampa kitengo akawa mpoleAlikuwa ' anapayuka ' sana na kupiga ' Mikelele ' mno katika Media ( Television ) japo kwa 85% Kichwani mwake alionyesha ni Mtu Mwerevu ( Intelligent ) na mwenye Mitazamo ya mbali ( Visionary )
RIP Kwake na poleni wana Familia wake.
Duhh...Mwanaharakati Renatus Mkinga afariki, alikuwa mjumbe wa bodi ya Tasac iliyovunjwa na mama Samia mwezi uliopita.
Source: TPA
=========
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA Bw Renatus Mkinga amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili usiku wa kuamkia tarehe 25 Mei, 2021. Atakumbukwa kwa Mchango wake katika maendeleo ya Sekta ya Bandari. Apumzike kwa Amani.