Sasa kama yeye ni shabiki la AL ahly je?Akihojiwa na EATV mjumbe wa kamati tendaji Yanga bwana Alex Ngai amesema Yanga wanatamani siku moja na wao wapate fursa ya kushiriki African football league, lakini amewatakia kila la Kheri Al Ahly katika michezo yake dhidi ya Simba.
Imetolewa na timu ya Libya. Ingetolewa na ASAS au Zalan ningeshangaa.Enyimba ina ubora gani? Klabu ubingwa imeshatolewa preliminary stage.
Hiyo michuano ni ya kuwavimbisha kichwa Al Ahaly tu.
Inaumiza kitu gani sasa! Mbona hata USM Alger waliochukua huo ubingwa hawapo!! Kubali hayo mashindano kwa mwaka huu hayana tofauti na bonanza!! Labda kwa siku zijazo ndiyo yatakuwa na tija iwapo vigezo na masharti vitazingatiwa.ila inaumiza sana. Yaani unafika fainali ya kombe la shirikisho halafu unaambiwa haustahili kushiriki ligi yenye vilabu bora nane?
Asante kwa kushirikiWanaponda African football league kumbe wanaitamani ila wanakaza tu midomo
Vigezo ndio hivyo, ubora wa timu sambamba na uwakilishi wa region. Hata World Cup wasingeweka utaratibu wa region, huenda Africa tungekuwa tuna nafasi 3 labda badala ya 5 za sasa. Enyimba anatoka ile region ya West Africa, na ndiye walau anayetisha kule kwa hii miaka 5 ya mwishoLabda kwa siku zijazo ndiyo yatakuwa na tija iwapo vigezo na masharti vitazingatiwa. Maana Enyimba haina mafanikio yoyote yale ndani ya hii miaka michache! Na sidhani hata ipo kwenye timu 20 bora Barani Afrika kwa sasa. Lakini na yenyewe imejumuishwa.
Kwenye hicho kipengele cha uwakilishi wa Kikanda (Regions) kwa ajili ya kutanua soko la hayo mashindano, naona itakuwa ndiyo hoja yenye mashiko zaidi. Ila ukija kwenye ubora, siamini kama timu kama Enyimba ina ubora wowote ule kwa sasa.Vigezo ndio hivyo, ubora wa timu sambamba na uwakilishi wa region. Hata World Cup wasingeweka utaratibu wa region, huenda Africa tungekuwa tuna nafasi 3 labda badala ya 5 za sasa. Enyimba anatoka ile region ya West Africa, na ndiye walau anayetisha kule kwa hii miaka 5 ya mwisho
Enyimba ina ubora gani? Klabu ubingwa imeshatolewa preliminary stage.
Hiyo michuano ni ya kuwavimbisha kichwa Al Ahaly tu.
Al Ahly ataenda hadi fainali. Ni suala la muda tu
Al Ahaly wakiweza kuwatowa Mamelodi Sundowns wanachukuwa ndoo.Al Ahly ataenda hadi fainali. Ni suala la muda tu