Mjumbe wa Katiba Bi Maria Saungi Tseshai



Kaka Pasco sawa!!!!
Hakuna mtundu mjinga wanasema!!!
 
Last edited by a moderator:
Halafu utashangaa vichwa kama hivi haviko kwenye mfumo wa uongozi kwenye hii nchi. Badala yake tunapeleka watu South Africa kwenda kusema kwamba Tanzania ni Muungano wa Zanzibar na visiwa vya Zimbabwe!!!! Ooh my God.

Aaaanh kama ni kichwa kama anavyoandikwa basi bora asiingie huko unakosema!!!!!
 
Nimefarijika kuona mchango wake katika mada hii kwenye zile michango kuanzia page 5-6 hapo wanaojua ID yake watakuwa wameisoma comment yake.
 
ndiyo yule mpbavu kutwa anamtetea mbunge wa mahakama, FB na Twitter..

Alimsaidia hata kutengeneza zile CD zake via her company, Compass Communications!! Si unajua kupitia kampuni hii ndiye mwandaaji wa Miss Universe? Ni pro ZZK sana!!! hana jipya ila kwa mwiba huyo naona SSM hataingia
 
leo mmemsifia, ngoja ajichanganye kidogo mtakavyomtukana. yangu macho
 

Ha ha haa! Umenipa Moyo sana
 
Nimefarijika kuona mchango wake katika mada hii kwenye zile michango kuanzia page 5-6 hapo wanaojua ID yake watakuwa wameisoma comment yake.

Mkuu NAPITA,

Ha ha ha!

Hadi page hii ya 7 hakuna mchango wake kwa ile ID yake ninayoijua.

-Ila wakuu wengine acheni umbea wa kunitumia Inbox na kuniomba niwajulishe ID yake.Nimesema sitajii...Labda ataje Mwenyewe huko Twitter
 
Last edited by a moderator:
Nilifanikiwa kumuona huyu dada juzi akichangia kwakweli nilikuwa sebuleni na wife wote kwa pamoja tulimkubali kwa jinsi alieleza kwa ufasaha hadi kila mmoja wetu akakiri kama wangalau tungekuwa na 1/3 ya wajumbe wa namna hii basi tungepata katiba bora. Hiyo michango ya wanajamvi wengine kuhusu mapungufu yake si mbaya kwani ni nafasi ya yeye pia kujua mapungufu yake na kujirekebisha hatimaye atakuwa bora zaidi. Ila ki ukweli anajua alilofuata kwenye bunge hili la katiba.
 
Huyo demu alikuwa anasoma Jangwani tuisheni, nadhani alikuwa ni mwanafunzi wa zanaki. Lakini kama ni yule mbona alikuwa msela mpaka mameni wanamuogopa?

Ni kweli sasa nimekumbuka alikwa anasoma Zanaki. Unajua alikuwa hana muda na mamen, kuna wakati ilisemekana anataka kusomea usista!!! Sijui iliishia wapi hii plan yake. alikuwa bright sana na mdogo wake Veronica Sarungi sijui atakuwa wapi miaka hii. Naye alikuwa bright pia.
 
Aliwahi kuwa head girl Zanaki secondary school miaka hiyo ya early 90s alikuwa mzuri kichwani.


Kumbe ni mama mzazi mzuri sana kama hajaolewa wallah kaka yangu kashapata mke.
 
Nakumbuka siku ana graduate A level pale Jangwani Sec School akiwa amevalia suti nyeusi alizoa zawadi za ukipanga kwenye masomo karibia yote!
 
I remember kipindi nasoma alikua anakuja kwenye Easter Conference...Nilimfahamu kama GOD Fearing woman.....Nakumbuka watu walikua wanamwona kama Mtawa...I like her
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…