VUTA - NIKUVUTE aka TUPATUPAJK anatumia ID gani hapa Jamii forums kama unamjua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VUTA - NIKUVUTE aka TUPATUPAJK anatumia ID gani hapa Jamii forums kama unamjua?
Kwa hiyo ni mjaluo! Teh! Teh! Teh!
Ni kweli, alimaliza A-level PCM akiwa na points 3!!
Kwa upande wangu, baada ya kujua exactly tunapewa kiasi gani, hii posho ya kujikimu ni less than gharama yangu ya siku hapa #ChangeTanzania
7:02am - 17 Feb 14
Haya maneno aliyasema twitter ana doubleness of thought kuhusu posho, msimwamini kabisa.
JK anatumia ID gani hapa Jamii forums kama unamjua?
HahahAhahahahaha wajaluo wazuri aisee
Ndiyo maana ukaambiwa huyu mama kichwa.Nimavyojua Mimi MTU kichwa anaweza kufanya zaidi ya jambo moja kwa wakati.
Pasco unaweza ukamjua Maria ukubwani lakini sio kweli kwamba umesoma naye. Wewe ulisoma Oysterbay, yeye kasoma Bunge. Na kishule alikuwa nyuma yako sana. Wao wako wawili kwa mama wa ki 'hungary' naye ni mtoto wa pili. Unaweza ukawa unamfagilia lakini usionyeshe kuwa unamjua kiasi hichoNi binti mkubwa wa Prof. Sarungi!. Nilisoma naye Primary, ni kichwa kweli kweli cha ukweli!.
Ana Diploma ya Journalism, na Masters ya Communications, anakampuni yake ya Compass Communications,
She is no nonsense lady!.
Pasco
Mkuu Ole, kiukweli niliangalia rangi tuu, hayo mengine sikuyajua na sikuyajali, nina watoto 6, watatu wa kiume na watatu wakike, the 1st two wako vyuo, the 2nd 2 wako sekondari, the last two wako primari, ukimuondoa 1st born ni wa kike na ndiye pekee aliye fuata akili za "cheupe" wangu, the rest hawajawahi kuvuka top 5!. Kabinti kangu no.3 kako seki, tangu kakiwa primary, siku kalifeli sana, kalishika nafasi ya pili!, tangu kamekanyaga sekondari, ni number overall nafasi ya kwanza hakuwahi kushuka!.Na atuambie product zake ni aje ni vipi au rangi ilimpoteza???!!
Valour, kwani niliitaja jina la hiyo primary niliosoma?!.Pasco unaweza ukamjua Maria ukubwani lakini sio kweli kwamba umesoma naye. Wewe ulisoma Oysterbay, yeye kasoma Bunge. Na kishule alikuwa nyuma yako sana. Wao wako wawili kwa mama wa ki 'hungary' naye ni mtoto wa pili. Unaweza ukawa unamfagilia lakini usionyeshe kuwa unamjua kiasi hicho
Ni Member Mwenzetu JF pia.Aisee nisije nikaingia kwenye mtego wa kuvunja kanuni.Simtajiii....!
Ni kweli, alimaliza A-level PCM akiwa na points 3!!