Mjumbe wa Katiba Bi Maria Saungi Tseshai

Mjumbe wa Katiba Bi Maria Saungi Tseshai

Alivyoolewa alikuwa atheist, sijui kama bado yuko hivyo au ameanza kuamini tena. Hata hivyo hayo ni maisha yake binafsi nadhani ataleta michango mizuri kwenye hili bunge maalum. Dada yake Veronica ana akili sana (za darasani).
 
Hahaaa,

Eti muwakilishi wa Tanzania Twitter.

That's some distinction right there.

Prof. Sarungi aliturusha sana Muhimbili. Ila mzee yule msahaulifu kichizi, kila kitu shurti aandike, asipoandika hata majina ya watu kukumbuka tabu ilikuwa.

Hahaha
 
Kwa upande wangu, baada ya kujua exactly tunapewa kiasi gani, hii posho ya kujikimu ni less than gharama yangu ya siku hapa #ChangeTanzania
7:02am - 17 Feb 14

Haya maneno aliyasema twitter ana doubleness of thought kuhusu posho, msimwamini kabisa.
 
Mama yake Maria Sarungi ni Mrusi. Nilikuwa sijagundua huyu dada ni kichwa ile mbaya. Hakuna cha Prof Anna Tibaijuka au Celine Kombani. She is really good. Huyu Tibaijuka pamoja na uprof wake anaongea siasa na kuwafool kwa sababu ya exposure yake.

Jamani eeh, khaaa! Kafanya nini cha ajabu hadi udai ni kichwa ile mbaya?

Watu mnapenda sana kulirusha rusha hilo neno hata kwa watu wenye akili za kawaida tu.

Sijui ingekuwaje tu watu kama Einstein, Stephen Hawking, Alan Turing, au Grigori Perelman wangekuwa ni wabongo.

Dizaini mngewaona ni miungu kabisa!
 
Wanawake wanaweza Bwana. Tena bila kuwezeshwa. Tumeweza na tunasonga mbele. Wale mnaotusema oh! Oh! Wanawake Oh! Oneni vichwa hivyo.

Hongera Maria.

Queen Esther
Hata Zakhia Meghji kachangia pumba na ni mwanamke. Na pumba zikubali pia
 
Huyu mwana mama si kama wale wa kuhadaiwa kwa lift; t-shirt, khanga, kofia na pombe. I wish ladies wangekuwa wanajiingiza kwenye siasa si kama bidhaa bali kwa uwezo wa vichwa vyao! Chanja mbuga nyar Rorya; hata ukitaka jimbo kule home land tupo tutakusaidia kikamilifu!
 
Naunga mkono aliyesema inabidi ale chipsi mayayinkwa sana kwani akipata nyama kidogo tuu kwenye mwili atafaa zaidi..huu mwili wa umodo kiasi unaleta tafran
 
Huyu mwana mama si kama wale wa kuhadaiwa kwa lift; t-shirt, khanga, kofia na pombe. I wish ladies wangekuwa wanajiingiza kwenye siasa si kama bidhaa bali kwa uwezo wa vichwa vyao! Chanja mbuga nyar Rorya; hata ukitaka jimbo kule home land tupo tutakusaidia kikamilifu!

Naunga mkono hoja.
Mbunge wa sasa ni nani?
 
Naunga mkono hoja.
Mbunge wa sasa ni nani?

Kimantiki kwa sasa Rorya hakuna Mbunge. Angekuwepo wala hili lisingekuwa swali. Kuna jamaa mmoja hivi hata jina lake ni gumu kulitaja. Hawezi kujieleza kwa lugha yoyote ile akaeleweka. Anaogopa kuongea na kuhudhuria palipo na wenye upeo na wachambuzi wa mambo kwa kina!

In short ni maarifa maarifa aka bongi bongi!
 
Wangepatikana akina mama kama huyu 30 tuu ndani ya bunge tungekuwa mbali sana Mwenye profle yake ailete Elimu yake na vinginevyo.
sasa km humjui sifa za nini ..wabongo bana.Chupi kabisa...
 
Last edited by a moderator:
ndiyo yule mpbavu kutwa anamtetea mbunge wa mahakama, FB na Twitter..
 
Hamna kitu mtu anayeropoka wakati kaulizwa kwa faragha msimamo wake sio akili bali amechemsha.kama mnaona hizo ni akili basi wapo wengi
 
Ni binti mkubwa wa Prof. Sarungi!. Nilisoma naye Primary, ni kichwa kweli kweli cha ukweli!.
Ana Diploma ya Journalism, na Masters ya Communications, anakampuni yake ya Compass Communications,
She is no nonsense lady!.
Pasco
Sio binti mkubwa, huyu ni mdogo wa Veronica ambaye alikuwa kichwa sana pote aliposoma. Ila huyu ni tofauti Na dada yake anzia primary. She was more social than the sister. Ndiye mwenye kuandaa miss universe ya Tanzania. Aliyemtoa Flaviana Matata!
 
Nitakutumia PM unitajie, kwa PM utakuwa hujavunja kanuni!, ila kama ni mwana jf, nadhani stakuwa ndiye WOS! au.... au....
Pasco.

Hii ID WoS ingemfaa sana. Bahati mbaya sio yeye.

Damn, nammisi sana WOS. Kichwa chake anakijua mwenyewe na anakitendea haki.
 
Safi sana Maria Philemon Sarungi!!! Ni mtoto wa Professor Sugeon wa mifupa Philemon Sarungi ambaye aliingia katika siasa baadaye. She was very bright tangu alipokuwa anasoma sikumbuki kam ani Jangwani au Zanaki. Na akiwa shuleni akikuwa pia anafanya masuala ya environmental conservation. She was a very God fearing lady with manners kwa kweli. Hukuweza kutambua kama alikuwa amezaliwa na mama mzungu. She is smart.

Huyo demu alikuwa anasoma Jangwani tuisheni, nadhani alikuwa ni mwanafunzi wa zanaki. Lakini kama ni yule mbona alikuwa msela mpaka mameni wanamuogopa?
 
Kwa upande wangu, baada ya kujua exactly tunapewa kiasi gani, hii posho ya kujikimu ni less than gharama yangu ya siku hapa #ChangeTanzania
7:02am - 17 Feb 14

Haya maneno aliyasema twitter ana doubleness of thought kuhusu posho, msimwamini kabisa.

Really????

Hii kali ya kufungia rasimu ya katiba.
 
Back
Top Bottom