Mjumbe wa Katiba Bi Maria Saungi Tseshai

Mmesema alisoma Zanaki enzi za 90s je alikuwa memba wa lile kundi la wale Zanaki girls?

Wale mabinti walikuwa wanatisha aiseee...

Sasa tushakubaliana kuwa hana mume tatizo hali...huu wembamba kwangubni big problem.

Sina tatizo na urefu wake..
 

sio Asha diii
 

Your social and personal life inatufanya tupate the clear picture of yours..je unayoyaongea unayamaanisha..!! Yahani kama huwezi kuyaongoza maisha yako utaongozaje ya jamii nzima..umeziona tweets zake kuhusu posho..?? Je anayoyasema bungeni ni sawa na anayoyaandika kwenye social medias..
 
Ila huyu mmama 24hrs yupo twitter sijui anamuda kwa kuwa makini bungeni

hata humu JF ni member active sana hata hii thread amesha'view ingawa haja'comment.. Ngoja niishie hapa nisije kiuka kanuni za Jf
 
Mlinganishe na mamatilie, sijui mwimba taarab, Zainab Gama (from 00:31)

 
Last edited by a moderator:
Huyu dada ni kichwa kwa kweli nimemkubali angekuwa hajaolewa ningemproposia jamani,kujiamini nadhani ni issue nzuri sana hata watoto wangejiamini kama yeye du keep it baby mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
nimemkubali kwasababu anatuwezesha watu wa mitandaoni kupata live update esp. through her tweets.
Kazi nzuri mudada.
 

 

Nilimuona wakati akichangia na kusema kura ya siri ni fundamental principles of democracy..
 
Hahahaha duh!
 
Balaa. Halaf akawa mwandishi wa habari....????????
Mimi pia nimesoma, PCM Tambaza na nilipasua na sasa ni mwanahabari!.
Kuna waandishi wa habari wa aina mbili.
1.Wale waliofeli masomo hivyo kuingia media kama the only option left for them!.
2.Wale waliofanya vizuri kwenye masomo yao, wakaamua kuingia media for the love of it, hivyo ni waandishi by choice not by chance!.
Pasco
 

Mmmmmmh haya mkuu!!!!!!
Ila.mngesoma hayo mavitu halafu mkaongeza na elimu ya habari mngekuwa mitambo sana na ingepunguza waandishi wa habari "kujua" sana!!!!
 
Mmmmmmh haya mkuu!!!!!!
Ila.mngesoma hayo mavitu halafu mkaongeza na elimu ya habari mngekuwa mitambo sana na ingepunguza waandishi wa habari "kujua" sana!!!!
Ningeendelea PCM ndipo nikaandike habari?!.
Pasco
 
Ningeendelea PCM ndipo nikaandike habari?!.
Pasco

Haiwezekani???!!!
Ungekuwa say Engineer na.ungeandikia from that angle sio sumu za kina Kibonde na nani sijui wanaotangaza habari za nyumba wakati wao hata ratio ya tofali na sababu zake hawajui!!!!!

Au huoni dakika arobaini na tano wakiingia watu tough muandishi anageuzwa tape
recorder???!!!

Au wewe uje unihoji mimi sasa si ntaamua kuupeleka mjadala nitakavyo sababu najua huwezi kunibana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…