Pre GE2025 Mjumbe wa mkutano mkuu BAVICHA alilia posho ya kujikimu, 'tuliambiwa tutalipwa ila hadi sasa bado, kwa hali hii tunaweza kuepuka rushwa?'

Pre GE2025 Mjumbe wa mkutano mkuu BAVICHA alilia posho ya kujikimu, 'tuliambiwa tutalipwa ila hadi sasa bado, kwa hali hii tunaweza kuepuka rushwa?'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Wakuu wakati mkutano mkuu wa Bavicha ukiendelea leo, mjumbe mmoja aeleza kwa masikitiko kuwa hawajalipwa pesa za kujikimu walizohaidiwa.

"Tuliambiwa jana tutapewa pesa ya kujikimu mpaka leo hatujapewa, mnawezaje mkaipinga rushwa ilhali mnaitengeneza?" - Mjumbe wa mkutano mkuu Bavicha
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Wakuu wakati mkutano mkuu wa Bavicha ukiendelea leo, mjumbe mmoja aeleza kwa masikitiko kuwa hawajalipwa pesa za kujikimu walizohaidiwa.

"Tuliambiwa jana tutapewa pesa ya kujikimu mpaka leo hatujapewa, mnawezaje mkaipinga rushwa ilhali mnaitengeneza?" - Mjumbe wa mkutano mkuu Bavicha
View attachment 3200794
Huk ndo uongozi mbovu wa mbowe mkutano ulijulikana miaka mitano kabla kwamba utakuapo inakuaje pesa haijakusanywa mpaka leo, anatengeneza tatizo Ali alitatue kwa kupiga pesa kupitia nimekopesha chama.
 
Tukisema chama kimejaa matapeli wanasema tunakichafua. Sasa chama kina ruzuku, join the chain etc kweli walishindwa kujipanga mwaka mzima kukamilisha mkutano wa siku moja?.

Huyo Moza Ally Mushi ni chawa wa Mbowe kwahiyo ni genge lile lile la wapigaji tu. Watupishe tukisafishe chama
 
Sasa kama chama tu kukiongoza wanashindwa ndio wataweza nchi?
 
Ni point sn kweli walipwe, chama kina ruzuku n.k
Hiyo ruzuku itafanya mambo mangapi? Tusiwe wepesi kutaja tu ruzuku, namba huwa hazidanganyi. Haya yote alishayaona Mbowe, akaongoza maamuzi yakafikiwa kuwa Kamati Kuu wafanye fund raising, wakagawana viwango. Kuna baadhi wamekuwa wanapinga uamuzi wa kugawana viwango vya kukusanya fedha kwa madai kwamba baadhi ya wanakamati pia ni wagombea, hivyo itaonekana kama wanatoa rushwa. Kuna mazingira inabidi tuyakubali. Mimi nadhani maamuzi ya Mwenyekiti kuwa wagawane fedha za kukusanya yalikuwa sahihi
 
Hiyo ruzuku itafanya mambo mangapi? Tusiwe wepesi kutaja tu ruzuku, namba huwa hazidanganyi. Haya yote alishayaona Mbowe, akaongoza maamuzi yakafikiwa kuwa Kamati Kuu wafanye fund raising, wakagawana viwango. Kuna baadhi wamekuwa wanapinga uamuzi wa kugawana viwango vya kukusanya fedha kwa madai kwamba baadhi ya wanakamati pia ni wagombea, hivyo itaonekana kama wanatoa rushwa. Kuna mazingira inabidi tuyakubali. Mimi nadhani maamuzi ya Mwenyekiti kuwa wagawane fedha za kukusanya yalikuwa sahihi

Mifumo ya kukusanya fedha ndani ya chama Iko imara kiasi gani? Siamini ukusanyaji fedha kiholela kunakofanywa na wanachama binafsi.
 
Wakuu wakati mkutano mkuu wa Bavicha ukiendelea leo, mjumbe mmoja aeleza kwa masikitiko kuwa hawajalipwa pesa za kujikimu walizohaidiwa.

"Tuliambiwa jana tutapewa pesa ya kujikimu mpaka leo hatujapewa, mnawezaje mkaipinga rushwa ilhali mnaitengeneza?" - Mjumbe wa mkutano mkuu Bavicha
View attachment 3200794Pumbavu tuu ndio atawasikiliza kina Lisu,Heche na wengineo ambao wanakuka hela za kamati kuu ila hawataki wengine wale 😆😆
 
Hiyo ruzuku itafanya mambo mangapi? Tusiwe wepesi kutaja tu ruzuku, namba huwa hazidanganyi. Haya yote alishayaona Mbowe, akaongoza maamuzi yakafikiwa kuwa Kamati Kuu wafanye fund raising, wakagawana viwango. Kuna baadhi wamekuwa wanapinga uamuzi wa kugawana viwango vya kukusanya fedha kwa madai kwamba baadhi ya wanakamati pia ni wagombea, hivyo itaonekana kama wanatoa rushwa. Kuna mazingira inabidi tuyakubali. Mimi nadhani maamuzi ya Mwenyekiti kuwa wagawane fedha za kukusanya yalikuwa sahihi
Siyo maamuzi sahihi hata kidogo, 2010-2020 CHADEMA ilikuwa na wabunge wengi sn + Ruzuku kumbwa, ilishindwa nini kutengeneza vitega uchumi kama kumbi/hoteli/hostel n.k?
 
Chadema inatia AIBU sana

Chama Cha Tajiri vijana wa Bavicha wamelala mitaroni 🐼
Yaani hata wangejenga hoteli za chama na kumbi kwa ruzuku ya 2010-2020 wangekuwa na vitenga uchumi kibao hata mashamba ya chama, CCM mpk wa mashamba,viwanja, ofisi, shule n.k
 
Hapo yanatengenezwa mazingira ya rushwa maana mtu amekaa siku mbili hajala na kulala vizuri ni rahisi sana kughilibiwa,hiyo haikutokea kwa bahati mbaya. Mbinu sa kiccm hizo,tengeneza tatizo kisha litatue upate credit.
CHADEMA now kuna rushwa haswa tena za kijinga
 
Siyo maamuzi sahihi hata kidogo, 2010-2020 CHADEMA ilikuwa na wabunge wengi sn + Ruzuku kumbwa, ilishindwa nini kutengeneza vitega uchumi kama kumbi/hoteli/hostel n.k?
Kwa hiyo unazungumzia 2020. Sasa hivi ni 2025
 
Back
Top Bottom