P Peaceforever JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 2,030 Reaction score 2,200 Jan 13, 2025 #41 Uchaguzi ufanyike kieletroniki! π kuepusha gharama, wajumbe waambiwe ni kazi ya kujitolea!
Mr.Junior JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 12,454 Reaction score 11,029 Jan 13, 2025 #42 Chama hakina miradi na kuna mtu yupo madarakani miaka 21+
Y yungeni Member Joined Jan 8, 2025 Posts 43 Reaction score 47 Jan 13, 2025 #43 Allen Kilewella said: Mifumo ya kukusanya fedha ndani ya chama Iko imara kiasi gani? Siamini ukusanyaji fedha kiholela kunakofanywa na wanachama binafsi. Click to expand... Na kama sijakosea lisu ndio analipigia kelele sana hilo jambo
Allen Kilewella said: Mifumo ya kukusanya fedha ndani ya chama Iko imara kiasi gani? Siamini ukusanyaji fedha kiholela kunakofanywa na wanachama binafsi. Click to expand... Na kama sijakosea lisu ndio analipigia kelele sana hilo jambo