Mjuumbe wa usimamizi na uwendeshwaji wa ligi amejiuzulu

Yanga hawana lolote,wamebaki kulalamika na kucheza mpira nje ya uwanja.
Mbinu za kitoto!
Msipoangalia mtapigwa sana kwa kuwa wachezaji wenu mmewaharibu kisaikolojia kwa maneno yenu.Mnawadanganya wanaonewa,kiasi kwamba hata walivyojifunga goli bado wanaona walionewa!
Chezeni mpira nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tambwe alifunga kwa mguu...ila Madaraka Selemani ndio alifungaga kwa mkono na maisha yaliendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…