Mkaa unapoisha tunaona, kwanini gesi inapokuwa inaisha hatuwezi kuona mpaka tutingishe mtungi?

Mkaa unapoisha tunaona, kwanini gesi inapokuwa inaisha hatuwezi kuona mpaka tutingishe mtungi?

Zero Competition

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
347
Reaction score
553
Ukiwa unatumia mkaa una uwezo wa kuona wakati mkaa unaishia na kuweza kukadiria kama huo mkaa uliobaki utakusogeza hadi siku gani lakini hali iko tofauti kidogo katika matumizi ya gesi.

Raha ya gesi ni pale tu unapobadirisha dukani kwa kununua gesi mpya mana hapo una uwezo wa kukaka hata wiki mbili bila kuutikisa ila baada ya muda tabu inarudi palapale ya kutikisa ili kujaribu kuhisi kwamba iliyobaki itakufikisha wapi.

Hivi hakuna namna ambayo wauza gezi wataweza kuweka vifaa ambavyo kadri gesi inavyopungua unaweza kuona bila kutikisa mtungi?
 
Umasikini tu. Kuna Hivi vi regulator vina gauge reader kabisa unakua unajua kwamba mzigo umebaki kiasi gani.
images (3).jpeg
 
Utofauti kati ya mkaa na gas ni huu: mkaa ni yabisi(solid matter) na gas ni mambo ya hewa(gases matter). Hivyo basi, kwa kuwa mkaa unaonekana unapo utumia na gas haionekani labda kama ni mwangalifu utajua kwa wepesi wa mtungi. Unless otherwise, tafuta kitu kiitwacho "gas gauge regulator" kitakusaidia sana kujua ni kiasi kipi cha gas kimetumika na kilicho bakia.
 
Utofauti kati ya mkaa na gas ni huu: mkaa ni yabisi(solid matter) na gas ni mambo ya hewa(gases matter). Hivyo basi, kwa kuwa mkaa unaonekana unapo utumia na gas haionekani labda kama ni mwangalifu utajua kwa wepesi wa mtungi. Unless otherwise, tafuta kitu kiitwacho "gas gauge regulator" kitakusaidia sana kujua ni kiasi kipi cha gas kimetumika na kilicho bakia.
Shukrani
 
Usirudie kutikisa mtungi mkuu ni hatari sana sana.

Tumia njia ulizoshauriwa hapo ama lah we subiri mpaka ikate tu, ila usiutikise huo mtungi ndgu utakulipukia.
 
Ndo maana naipenda JF najifunza Mengi nisiyoyajua
 
Utofauti kati ya mkaa na gas ni huu: mkaa ni yabisi(solid matter) na gas ni mambo ya hewa(gases matter). Hivyo basi, kwa kuwa mkaa unaonekana unapo utumia na gas haionekani labda kama ni mwangalifu utajua kwa wepesi wa mtungi. Unless otherwise, tafuta kitu kiitwacho "gas gauge regulator" kitakusaidia sana kujua ni kiasi kipi cha gas kimetumika na kilicho bakia.
Imekaa njema mkuu!
 
Usirudie kutikisa mtungi mkuu ni hatari sana sana.

Tumia njia ulizoshauriwa hapo ama lah we subiri mpaka ikate tu, ila usiutikise huo mtungi ndgu utakulipukia.
Kama kutikisa mtungi WA gas ni hatari Sana he inaposafirishwa imejazana kwenye magari toka mkoa mmoja kwenda mwngn na ikiwa ina gas mbona sjawahi skia imelipuka unadhan watengenezaji WA mitungu hiyo ni wajinga wasjue kwamba mitungi Yao ikitikiswa Tu hulipuka mpk wastoe tahadhari wakati Kila Leo boda wanakimbia nayo kwny mitaa humu na hakuna mlipuko Acha uwongo ww mdemkaji
 
Ukiwa unatumia mkaa una uwezo wa kuona wakati mkaa unaishia na kuweza kukadiria kama huo mkaa uliobaki utakusogeza hadi siku gani lakini hali iko tofauti kidogo katika matumizi ya gesi.

Raha ya gesi ni pale tu unapobadirisha dukani kwa kununua gesi mpya mana hapo una uwezo wa kukaka hata wiki mbili bila kuutikisa ila baada ya muda tabu inarudi palapale ya kutikisa ili kujaribu kuhisi kwamba iliyobaki itakufikisha wapi.

Hivi hakuna namna ambayo wauza gezi wataweza kuweka vifaa ambavyo kadri gesi inavyopungua unaweza kuona bila kutikisa mtungi?
ok
 
Kama kutikisa mtungi WA gas ni hatari Sana he inaposafirishwa imejazana kwenye magari toka mkoa mmoja kwenda mwngn na ikiwa ina gas mbona sjawahi skia imelipuka unadhan watengenezaji WA mitungu hiyo ni wajinga wasjue kwamba mitungi Yao ikitikiswa Tu hulipuka mpk wastoe tahadhari wakati Kila Leo boda wanakimbia nayo kwny mitaa humu na hakuna mlipuko Acha uwongo ww mdemkaji
we Ni zero, Sasa hiyo inayosafirishwa si ipo sealed haijaanza kutumika bado, italipukaje?? Sasa wewe tikisa huo wa nyumbani dada,halafu washa kiberiti uchemshe huo mlenda,uhone mziki wake
 
Kama kutikisa mtungi WA gas ni hatari Sana he inaposafirishwa imejazana kwenye magari toka mkoa mmoja kwenda mwngn na ikiwa ina gas mbona sjawahi skia imelipuka unadhan watengenezaji WA mitungu hiyo ni wajinga wasjue kwamba mitungi Yao ikitikiswa Tu hulipuka mpk wastoe tahadhari wakati Kila Leo boda wanakimbia nayo kwny mitaa humu na hakuna mlipuko Acha uwongo ww mdemkaji
Ile ipo sealed haijaanza kutumika kabisa means tangu imejazwa haijawahi kutobolewa na kutumiwa. Ndio maana hairihusiwi kusafirisha mtungi wa gesi kwa usafiri wa uma kwa sababu ya uhatari wake.

NB. Wewe ni kilaza sana mkuu.
 
Back
Top Bottom